CCM na Ilani ya Uchaguzi ya 2025-2030: Ushindi Si Swali la ‘Je, Itashinda?’ Bali ‘Itashinda kwa Kiasi Gani?’
CCM inaingia katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 ikiwa na silaha tatu kuu: rekodi ya utekelezaji wa Ilani ya 2020–2025, dira ya maendeleo kupitia Ilani ya 2025–2030, na msingi mpana wa wanachama kote nchini.