
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Yaendelea Kujidhatiti Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali 2025/26
Pamoja na bajeti hii kuainisha mipango yenye tija bado ya uhaba wa walimu, kiwango kidogo cha fedha za bajeti kinachotolewa na urejeshaji hafifu wa mikopo vitaendelea kukwamisha upatikanaji wa elimu bora.