Capital Surge in Tanzania Calls for Labour Union Revitalisation
As the country’s labour market diversifies, unions must stay ahead of these trends and adapt their strategies accordingly, including influencing labour policies.
As the country’s labour market diversifies, unions must stay ahead of these trends and adapt their strategies accordingly, including influencing labour policies.
In its ten-year history, the party has moved from left to centre and is now on its ‘right’ side.
Binadamu na Maendeleo ni kitabu kinachobeba hotuba 11 alizohotubia Julius Nyerere kati ya mwaka 1968 na 1973 akiwa Rais wa kwanza wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.
katika tukio la Jumapili ya Mei 12,2024, jumla ya nchi 11 zimeathirika ikiwemo Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Mozambique, Mayotte, Malawi, Burundi, Madagascar. Mpaka sasa bado haijaelezwa chanzo cha hitilafu hiyo
Mvua inaweza kuwa na athari kubwa na ni jukumu letu kama wazazi na walezi kuhakikisha tunatengeneza mazingira ya usalama kwa ajili ya watoto.
With the coming negotiations or ongoing negotiations, Tanzania is in a better position than it used to be 20 years ago, it is not desperate. The test for President Samia is for her government to secure a better deal than what was there in the past.
Wadau wanasema ili chaguzi zijazo ziwe huru na za haki ni lazima mabadiliko ya Sheria yaliyofanyika yaende sambamba na mabadiliko madogo ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
Tathmini ni kitu muhimu sana kwa kila kitu kwa kuwa huonyesha mambo yalivyoendeshwa, udhaifu uko wapi, changamoto ni zipi na kwa nini kulikuwa na mafanikio eneo fulani.
Wanaharakati pia wanataka viongozi wa Serikali wawajibishwe kwa kujihusisha na vitendo vinavyokiuka haki za binadamu.
Matukio yote ya utekaji yatendewe kama dharura, hatua madhubuti zichukuliwe kubaini ukweli na kuwawajibisha wote waliohusika.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved