CAF Ilitafutie Suluhu ya Kudumu Suala la Morocco
Ikiwezekana ramani ya Morocco isijumuishwe kwenye jezi ya nchi hiyo ili michezo ichukue jukumu lake kuu la kuunganisha watu na si kutumika kutangaza siasa ambazo hazijapata muafaka.
Ikiwezekana ramani ya Morocco isijumuishwe kwenye jezi ya nchi hiyo ili michezo ichukue jukumu lake kuu la kuunganisha watu na si kutumika kutangaza siasa ambazo hazijapata muafaka.
Siasa za vyama vya upinzani zenye kuashiria chuki dhidi ya kikundi fulani cha wananchi ni zawadi kwa CCM inayoiwezesha kuendelea kubaki madarakani.
Serikali yasema hapana, ikidai kwamba wazazi hawalazimiki kuwapeleka watoto huko kama shule nyingine zipo.
Waziri mwenye dhamana ya elimu anasema lengo ni kuwapa wanafunzi chaguzi zaidi kwenye kusoma wanachokifurahia.
Mwandishi anamchora Kadiri, muhusika wake mkuu, kama baba anayeijali familia yake, muda wote akiwafikiria watoto wake.
Mkenda: Vyuo Vikuu Vinahitaji Kweli Mijadala, Lakini Siyo ya Kiharakati Pekee
Tukiiandikia Sekretarieti kwa uwingi wetu tutawaamsha hata waliolala; Tutapiga kelele na kupata matokeo bila kutumia nguvu au kuumizwa.
In our briefing today: Dar es Salaam RC: The city needs a major overhaul of its drainage system ;
Tanzania collected Sh. 12.6 billion in digital tax from global tech companies;
World Bank and REGROW Project in Tanzania: A timeline of key events;
Government to clear over 18 billion debt owed to Tanzania media houses;
Now is the time for a bolder Tanzanian foreign policy
Ni wakati sasa vyombo vya usimamizi wa sheria kuboresha namna wanavyofanya ukamataji, upelelezi na uendeshaji wa kesi zinazohusu wanayamapori na haki jinai kwa ujumla,” Mahakama yaamuru.
Utafiti mpya unaweka wazi kwamba mwenendo wa polepole, au wa kusitasita, pekee hautatosha kuilinda Tanzania dhidi ya kurudi kwa sera umizi ya kujitenga ya kiongozi wake aliyepita.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved