HomeAuthor

Charles William, Author at The Chanzo

Utata Marufuku ya Likizo: Tutawazuia Watumishi wa Umma Kwenda Likizo Mpaka Lini?

Shamrashamra za Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya zinaendelea sehemu mbalimbali duniani. Ndugu, jamaa na marafiki wanajumuika kwa furaha wakibadilishana mawazo na kujipumzisha. Ni wakati muhimu kwa wanafamilia. Wanafunzi ambao muda mrefu huwa wanakua shuleni wamerejea nyumbani. Wazazi ambao muda mrefu huutumia kazini wanapumzika nyumbani. Familia, kama nguzo muhimu ya ujenzi wa taifa, zinakutanishwa pamoja na kufurahi. Kwa bahati mbaya, hali haipo hivi kwa mamia ya watumishi wa halmashauri zetu hapa nchini. Wao wameambiwa wasiende...

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

Subscribe to Our Newsletter

The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved