Kati ya wanawake na wasichana 87,000 waliouwawa ulimwenguni kote kwa mwaka 2017, zaidi ya theluthi moja walifariki kwenye mikono ya wapenzi au waume zao wa sasa au wa zamani. Hili siyo suala la kifamilia. Hili ni janga la kijamii.
Kati ya wanawake na wasichana 87,000 waliouwawa ulimwenguni kote kwa mwaka 2017, zaidi ya theluthi moja walifariki kwenye mikono ya wapenzi au waume zao wa sasa au wa zamani. Hili siyo suala la kifamilia. Hili ni janga la kijamii.
Ni simulizi ya Wema Hassan Hamis, mama wa watoto wawili anaelezea changamoto alizokutana nazo toka akiwa msichana mpaka sasa. Wema anaihimiza serikali kufanya urahisi kwa watu wenye ulemavu kuipata mikopo ya Halmashauri
Uzito wa ujifunzaji ni ile hali inayomkabili mtoto na kumsababishia ugumu fulani kwenye kusoma, kuandika au kuhesabu.
Out of the 87,000 women and girls who were killed globally in 2017, more than a third died at the hands of their current or former boyfriend or husband. This is not a family issue. It is a public health crisis.
Wataalamu wanaonya kwamba endapo kama kundi hilo litaendelea kukwepwa kwenye elimu ya afya ya uzazi haki zao za msingi zinaweza zikawa hatarini kukiukwa.
Ofisi hiyo inahusisha vitendo hivyo na ushawishi wa shetani na watu kukosa hofu ya Mungu.
Wanawake wameshauriwa kujihusisha na masuala ya kitakwimu kwani kufanya hivyo kutawasaidia kwenye mapambano dhidi ya changamoto zinazowakabili.
The story speaks softly and closely to our hearts, letting us know that we are not alone.
Kwa mujibu wa wahanga, video nyingi za utupu zinazosambaa mitandaoni zimevujishwa na kikundi cha wahalifu walioamua kuchukua hatua hiyo baada ya mabinti husika kukataa kutoa fedha ambazo wahalifu hao wamekuwa wakiwaomba ili wasivujishe video hizo za kashfa.
More women have been nominated by political parties to contest for constituency seats in the upcoming 2020 general elections than in any other election in the history of Tanzania’s multiparty politics, The Chanzo analysis has revealed.