Kwa Nini Nchi Zingine za Afrika Hazijiungi na Muungano wa Tanzania Kama Ilivyokuwa Lengo la Awali?
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.
Kampeni za Malaria zimepoa kwa muda sasa. Labda kwasababu mambo ni mengi na muda ni mchache; magonjwa yasiyoambukizwa yanashika kasi na magonjwa ya mlipuko yanaongezeka duniani kote lakini hii haibadilishi ukweli kuwa kila dakika, mtoto aliye chini ya miaka 5 anafariki kwasababu ya malaria duniani.
For fifteen years since her conviction, Ghati has been detained in Butimba Central Prison, a maximum-security facility near Mwanza.
Mara nyingine Serikali inatualika kutoa maoni yetu, tuiambie iendelee tu, maana yenyewe ndiyo Serikali na yenyewe tu ndiyo inayojua nchi hii na watu wake wanahitaji nini ili kufikia maendeleo inayoyatafuta.
ACT-Wazalendo stands out not for its years but for its stature; it is the youngest in formation yet a colossus in action.
Hatua ya familia ya Salim Ahmed Salim kuweka hadharani nyaraka zinazowasaidia Watanzania kuifahamu historia yao ni ya kupongezwa na kutiwa moyo.
Natamani tujitafakari kama taifa, na kujiuliza, je, huku tulipo na tunakotaka kuelekea, kwenye matumizi haya ya mitandao ya kijamii, ni kuzuri?
Wataalamu wa makuzi ya watoto hueleza kuwa watoto wanaosikilizwa hujengeka na kuwa watu wazima wanaoheshimu mawazo ya wengine na kutoa mawazo yao kwa kujiamini na kujithamini.
Kwa sababu soka ni mchezo wa kitimu, ni muhimu wachezaji wakawa pamoja kwa muda fulani ili walimu waweke mbinu zao vichwani mwao na kujenga timu wanayoifikiria.
Katika utenzi huu, mwandishi anatukumbusha kwamba mapenzi bora hutupa akili ya namna ya kuenenda.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved