Wazazi Wahofia Matumizi ya Pedi Kusababisha Uhuni, Mabinti Watumia Magodoro Kujisitiri.
Dodoma. Wakati jamii, wadau na serikali ikiendelea kutekeleza afua mbalimbali za hedhi salama hapa nchini, baadhi ya wasichana wanaoishi eneo la Ng’hong’hona wamekuwa wakitumia vipande