Confederation or Not? Lessons From the Fall of Senegambia on Tanzania’s Union Future
If Tanzania were to become a confederation between Tanganyika and Zanzibar, it would likely face most of the same challenges that led to the fall of Senegambia.
If Tanzania were to become a confederation between Tanganyika and Zanzibar, it would likely face most of the same challenges that led to the fall of Senegambia.
Kama tunakubaliana na ukweli kwamba mtoto hawezi kuzaliwa bila ya baba na mama, basi tukubaliane pia kuwa mtoto hawezi kulelewa kikamilifu bila baba na mama.
Wengi wetu tumekua katika jamii ambazo wanawake ndiyo wanaofundishwa kupika, lakini kupika ni ujuzi muhimu wa maisha ambao kila binadamu anapaswa kufahamu.
Usafi ni nyenzo bora ya malezi na afya ya watoto. Pasipo kuzingatia usafi, magonjwa ya kuambukiza na yale yasiyo ya kuambukiza yamekua yakiathiri afya ya
Ugonjwa huu huwapata watu wazima na watoto, japo zaidi ni kwa watu wazima wenye umri kuanzia miaka 35, wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu, pamoja na wale wenye historia ya ugonjwa kwenye familia zao.
Tunachojifunza ni kwamba watoto wenyewe wakipewa fursa ya kuhusiana bila ya sisi wazazi kuwa mahakimu kila wakati, wanaweza kujenga mahusiano mazuri tu.
Maziwa ya mama ni mazuri kwa mtoto kwani huwa yana antibodi zinazosaidia kumlinda mtoto mchanga dhidi ya maradhi mbalimbali.
Watu wengi Zanzibar bado wanahusisha suala la wanawake kuongoza watalii na uhuni huku wengine wakisema wanafanya kazi hiyo kujiuza kwa wazungu
President Samia shared the rationale behind this reshuffle. She emphasized the importance of responding to the needs of citizens and being closely connected to the people.
Karibu kila mwezi, kwa mwaka uliopita wa 2023, tulishuhudia mbio za marathoni zikiendeshwa kwa umahiri mkubwa na wa hali ya juu ambao hata Chama cha Riadha (AT) chenyewe hakiwezi kufikia viwango hivyo.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved