Tag: Digital-Rights

Ushauri Watolewa kwa Wanawake Wajasiriamali Mtandaoni

Mbali na kukumbana na changamoto mbalimbali, wajasiriamali wanaotumia mitandao kufanya shughuli zao ambao The Chanzo imeongea nao walikiri kwamba mitandao ya kijamii imekuwa mkombozi kwao kwani inawasaidia kuendesha maisha yao kiurahisi.

Kilichojificha Nyuma ya Kuvuja kwa Video za Utupu Mitandaoni

Kwa mujibu wa wahanga, video nyingi za utupu zinazosambaa mitandaoni zimevujishwa na kikundi cha wahalifu walioamua kuchukua hatua hiyo baada ya mabinti husika kukataa kutoa fedha ambazo wahalifu hao wamekuwa wakiwaomba ili wasivujishe video hizo za kashfa.