Ally Saleh: Usiku wa Dk Mwinyi Utakuwa Mrefu Sana

Dk Mwinyi alisema anataka apate ushindi ambao hauna mabishano. Ukweli ni kwamba ushindi wake wa asilimia 76 una mabishano makubwa na utaendelea kuwa na mabishano.
Ally Saleh: Nilichokisema Kura Ya Mapema Kimekuwa

Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa ni upigwaji wa Kura ya Mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho.
Uchaguzi Mkuu 2020: Je, Watanzania Watapiga Kura?

Jumla ya wapiga kura milioni 29.19 wamejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu 2020. Je, watajitokeza kufanya hivyo ifikapo Octoba 28?