
Polisi Yathibitisha Kumshikilia Damour Aliyeripotiwa Kuchukuliwa na Watu Saba Nyumbani Kwao Mburahati
Katika taarifa ya Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Polisi wameeleza kuwa walimkamata Damour siku ya Jumamosi, Mei 2, 2026 majira ya saa tatu asubuhi maeneo ya Mburahati kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uhalifu.








