
Polepole Aitwa kwa DCI Ramadhani Kingai, Polisi Yasema Imekuwa Ikifanya Jitihada Kumpata Ili Atoe Ushahidi wa Tuhuma Alizotoa
Katika taarifa yake Polisi imeeleza kuwa ilifungua jalada la uchunguzi na linaendelea na uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ambazo Polepole amekuwa akizitoa kuanzia mwezi Julai mwaka huu.








