Profesa Mussa Assad: Ufisadi Umeshamiri Kwa Sababu Mafisadi Hawaadhibiwi

Asema hana matumaini na kizazi cha sasa katika kujenga jamii mpya, ataka nguvu ziwekezwe kwa vizazi vijavyo.
Twaha Mwaipaya: Rais Samia Hawezi Kukwepa Hitaji la Katiba Mpya

Kada huyo wa CHADEMA anasema wao kama chama hawatabweteka kufuatia kauli ya CCM kwamba Katiba Mpya inahitajika bali wataendelea kuchochea uhuishwaji wa mchakato huo.
Mwanahamisi Singano: Mfumo Dume Huwabeba Wanaoutetea na Kuwaadhibu Wanaotaka Kuubomoa

Mwanaharakati huyo anautaja mfumo dume kama chanzo kikuu cha matatizo mengi katika jamii kwani unalenga kuifanya jamii kuwa yenye manufaa kwa jinsia moja (ya wanaume) kwa gharama ya jinsia nyengine (ya wanawake)
Tito Magoti Amdadisi Jenerali Ulimwengu Nafasi ya Wananchi Kudhibiti Viongozi Wao

Ulimwengu anasema Katiba Mpya ni muhimu kwani itawaokoa watu na upigaji ramli katika uendeshaji wa nchi.
Catherine Ruge: Mambo Niliyopitia Kwenye Maisha Yamenifanya Niwe Imara Zaidi

Nje ya siasa na harakati, Catherine anatumia muda mwingi na watoto wake, anasema pia anakipenda sana kitanda chake.
Pius Msekwa: Vyama Vingi Maana Yake Ni Ushindani

Kada huyo wa CCM anasema moja ya sababu ya kuingia kwenye vyama vingi ni kusikiliza maoni ya watu
Anatumia Mitandao ya Kijamii Kuwatafutia Wenza Watu Wanaoishi na VVU

Dar es Salaam. Kuna changamoto nyingi sana zinazowakabili watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI nchini Tanzania. Na jitihada nyingi zinachukuliwa kuhakikisha kwamba changamoto hizi, au watu hawa, wanaondokana na changamoto hizi. Lakini kwa kiasi fulani changamoto moja inaonekana ni kama vile haipiganiwi kama vile inavyohitajika. Na hii ni changamoto inayowakabili watu wanaoishi na […]
Askofu Bagonza: Jicho Langu Mahali Penye Dhuluma Linapaona Haraka Sana

Dk Bagonza anataja sababu tatu kwa nini anaamini viongozi wa dini Tanzania wameshindwa kutimiza ipasavyo wajibu wao wa kupigania taifa la haki nchini.
‘Njia Bora ya Kutatua Kero za Muungano ni Kufufua Mchakato wa Katiba Mpya’

“Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa”.
Ismail Jussa: Bila ya Mageuzi ya Kitaasisi Hakutakuwa na Maendeleo ya Kweli Zanzibar

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba hajutii chama chake kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani maridhiano yanahitajika kujenga taifa katika misingi ya umoja na maendeleo endelevu.