Kada huyo wa CHADEMA anasema wao kama chama hawatabweteka kufuatia kauli ya CCM kwamba Katiba Mpya inahitajika bali wataendelea kuchochea uhuishwaji wa mchakato huo.
Kada huyo wa CHADEMA anasema wao kama chama hawatabweteka kufuatia kauli ya CCM kwamba Katiba Mpya inahitajika bali wataendelea kuchochea uhuishwaji wa mchakato huo.
Mwanaharakati huyo anautaja mfumo dume kama chanzo kikuu cha matatizo mengi katika jamii kwani unalenga kuifanya jamii kuwa yenye manufaa kwa jinsia moja (ya wanaume) kwa gharama ya jinsia nyengine (ya wanawake)
Ulimwengu anasema Katiba Mpya ni muhimu kwani itawaokoa watu na upigaji ramli katika uendeshaji wa nchi.
Nje ya siasa na harakati, Catherine anatumia muda mwingi na watoto wake, anasema pia anakipenda sana kitanda chake.
Kada huyo wa CCM anasema moja ya sababu ya kuingia kwenye vyama vingi ni kusikiliza maoni ya watu
Dar es Salaam. Kuna changamoto nyingi sana zinazowakabili watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI nchini Tanzania. Na jitihada nyingi zinachukuliwa kuhakikisha kwamba changamoto hizi, au watu hawa, wanaondokana na changamoto hizi. Lakini kwa kiasi fulani changamoto moja inaonekana ni kama vile haipiganiwi kama vile inavyohitajika. Na hii ni changamoto inayowakabili watu wanaoishi na VVU kuweza kupata wenza wa maisha kama mke, mume, au mpenzi. Ni jambo ambalo kwa kiasi kikubwa limekuwa likiwaathiri watu...
Dk Bagonza anataja sababu tatu kwa nini anaamini viongozi wa dini Tanzania wameshindwa kutimiza ipasavyo wajibu wao wa kupigania taifa la haki nchini.
"Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa".
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba hajutii chama chake kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani maridhiano yanahitajika kujenga taifa katika misingi ya umoja na maendeleo endelevu.
Mwanaharakati huyo mashuhuri anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba watoto wake wanamshangaa kwa nini anajisumbua kupigania utawala wa sheria nchini Tanzania.