Waliokuwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Wakurugenzi Sasa Rasmi Kwenye Kipute cha Kura za Maoni CCM Baada ya Mkeka Mpya wa Uteuzi Kutoka
Wataeule hao walitakiwa kuandika rasmi kuonesha nia zao za kuingia kwenye uchaguzi ujao.
Wataeule hao walitakiwa kuandika rasmi kuonesha nia zao za kuingia kwenye uchaguzi ujao.
Tanzania imesema inachunguza tuhuma za kutesa na kuwadhalilisha kingono wanaharakati
Kutokana na malalamiko ya kukosa faragha na mawakili wake, Tundu Lissu aliamua kuanzia leo kuendelea mbele atakuwa akijiwakilisha mwenyewe, jambo ambalo Mahakama imeliridhia.
Mrindimo wa No Reforms, No Election mitandaoni umezua mijadala hasa baada ya watumiaji wa mtandao wa Instagram na Tiktok kuanza kusambaza jumbe hizo
The amendments focus on the approval of digital meetings and the changes in its board of trustee
Mabadiliko hayo yanajumuisha kuruhusu mikutano ya kidigitali, kuongeza wajumbe wa baraza la wadhamini na namna ya kutoa ruhusa ya miradi
Leo Mei 27, 2025, The Chanzo imepokea wito kutoka kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuhusu maudhui ya video tuliyochapisha katika chaneli yetu ya Youtube,
Wakati CHAUMMA mpya ikionekana imepata rasilimali mpya za kuwawezesha kufanya kazi hapa na pale, mijadala ya wananchi inaonesha chama hicho kina mlima mrefu wa kupanda kuwaaminisha Watanzania kuwa kina imani ya dhati katika siasa.
Hata hivyo vyombo vya habari nchini Kenya vimeripoti kuwa Mwanaharakati huyo amekwisha fikishwa nchini Kenya kwa barabara leo Mei 22, 2025, huko Ukunda.
Mudavadi anasema kuna hali ya kukosa heshima nchini Kenya hasa linapokuja suala la maoni
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved