‘Bangi Kama Tiba’:Serikali Yataka Umakini na Tafiti Juu ya Kuruhusu Matumizi ya Bangi
Serikali imesema jambo la kutoa kibali cha kuruhusu kilimo na matumizi ya bangi ni suala ambalo halitakiwi kufanyiwa maamuzi ya haraka, inabidi serikali ijipe muda kufanya tafiti za kutosha ili ifanye maamuzi yenye tija.