
Sababu Zilizofanya Kampuni Iliyosajiliwa Falme za Kiarabu na Rostam Aziz Kuweza Kununua Kampuni ya Gesi Tanzania Kwa Shilingi 26,000 (Tsh. 26,000)
Kampuni ya Amber Energy Investment kutoka Falme za Kiarabu inategemewa kuwa mmiliki mkubwa katika mradi huo pamoja na mshirika wake Taifa Gas








