
Walimu Wapya 77 Mwanza Walipwa Stahiki Zao Baada ya TAKUKURU Kuingilia
Malipo ya madai hayo yamefanyika kufuata Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoa wa Mwanza kufanya uchambuzi wa mfumo na halmashauri kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa.








