Msimu wa Tatu wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu Wahitimishwa Dar. Wito Watolewa Kukuza Fasihi ya Kiswahili Duniani
Wadau wakugusia nafasi ya teknolojia kuipeleka fasihi ya Kiswahili kimataifa, waandishi watoana hofu ya Akili Unde.