The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Mwandishi Wetu

Mwili wa Hayati Ali Hassan Mwinyi Kuagwa leo Mchana Uwanja wa Uhuru

Katika taarifa ya Serikali iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa usiku wa kuamkia Machi 1, 2024, amesema mwili wa Hayati Ali Hassan Mwinyi utaagwa leo, Ijumaa katika uwanja wa Uhuru kuanzia saa nane mchana baada ya  swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA ambapo Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakary Zuberi ataongoza dua.