
Kesi ya Uhaini: Mahakama Yasema Lissu Ana Kesi ya Kujibu, Yafafanua Kanuni Ilizotumia Kufikia Uamuzi
Mahakama imeeleza kuwa katika hatua ya sasa haiangaalii kiundani uzito wa ushahidi au kuaminika kwa ushahidi bali uhusiano uliyopo kati ya ushahidi uliotolewa na shtaka lililopo na mshtakiwa








