
Waziri Mkuu Akanusha Tetesi za Dhahabu ya Benki Kuu Kuuzwa Kinyemela na Mtu Binafsi
Ni kufuatia tetesi kuwa dhahabu ya Tanzania iliuzwa na mtu binafsi katika moja ya nchi Mashariki ya Kati

Ni kufuatia tetesi kuwa dhahabu ya Tanzania iliuzwa na mtu binafsi katika moja ya nchi Mashariki ya Kati

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar amesema bajeti hiyo ni ya kipekee kwani ndiyo bajeti ya kwanza katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025-2030.

Kampuni ya Amber Energy Investment kutoka Falme za Kiarabu inategemewa kuwa mmiliki mkubwa katika mradi huo pamoja na mshirika wake Taifa Gas

David Djumbe alinusurika baada ya kuruka kutoka kwenye gari ya watekaji na kukimbilia msituni.

Katika taarifa ya Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Polisi wameeleza kuwa walimkamata Damour siku ya Jumamosi, Mei 2, 2026 majira ya saa tatu asubuhi maeneo ya Mburahati kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uhalifu.

Watoa huduma katika sekta ya usafiri wa mtandao nchini kampuni ya Bolt Tanzania imetangaza kuanza utekelezaji wa ongezeko la nauli kwa asilimia 22 kuanzia Ijumaa, Mei 1, 2026.

Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.

Rais ameishukuru Tume kwa kukamilisha kazi hiyo muhimu, akibainisha hatua kadhaa Serikali yake inapanga kuchukua kutekeleza mapendekezo yake.

Tathmini ya awali inaonesha bei ya mafuta kwa lita inaweza kupanda kufikia 4,000 na kuendelea

Tume imependekeza mabadiliko ya sheria ya hifadhi ya Ngorongoro ikiwemo kufanya uhamaji kuwa endelevu