NALA, Kampuni ya Mtanzania Benji Fernandes Yapata Uwekezaji wa Bilioni 100
Kampuni ya kutuma na kupokea fedha ya NALA iliyoanzishwa na Mtanzania Benji Fernandes imepata uwekezaji wa dola za kimarekani milioni 40 sawa na Sh. bilioni 100. Ikiwa ni
Kampuni ya kutuma na kupokea fedha ya NALA iliyoanzishwa na Mtanzania Benji Fernandes imepata uwekezaji wa dola za kimarekani milioni 40 sawa na Sh. bilioni 100. Ikiwa ni
Taarifa za sensa za mwaka 2022 zinaonesha ndoa zimeongezeka kutoka asilimia 51.1 ya watu wote wenye umri wa kuoa na kuolewa kwa takwimu za sensa mwaka 2012 mpaka asilimia 51.4 kwa sensa ya 2022.
Tanzania na Zambia zimeingia makubaliano ya mauziano ya tani 650,000 za mahindi yenye thamani ya shilingi bilioni 650
Inadaiwa kuwa Maningo amekamatwa kwa kuchapisha taarifa za siri za upelelezi, hata hivyo mpaka jioni ya Juni 15,2024, bado alikuwa mahabusu
Katika wasilisho lake hilo Shivji ameasa juu ya taifa kuepuka kufanyiwa majaribio katika utengenezaji wa dira yake.
Uchambuzi wa The Chanzo, uliojikita kwenye aina hiyo ya mikopo, pamoja na nyaraka za makubaliano kati ya Korea Kusini na baadhi ya wanufaika wa mikopo hiyo, madai hayo yanaonekana kuwa mbali na ukweli.
Jumla ya bilioni 460.33 zimepangwa kutumika na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha wa 2024/25.
Mei 13, 2024 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilijadili na kupitisha bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2024/25 jumla ya shilingi trilioni 1.3
Katika mwaka huu wa fedha bajeti ya Wizara ya Elimu imechukua asilimia 3.99 ya bajeti yote ya Serikali.
katika tukio la Jumapili ya Mei 12,2024, jumla ya nchi 11 zimeathirika ikiwemo Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Mozambique, Mayotte, Malawi, Burundi, Madagascar. Mpaka sasa bado haijaelezwa chanzo cha hitilafu hiyo
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved