
TAKUKURU Yatangaza Kuwatafuta Alex Msama wa Matamasha ya Pasaka na Benny Mwita Sammoh
Wawili hao wanatafutwa kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu

Wawili hao wanatafutwa kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu

Marekani na Tanzania zinaeleza juu ya ushirikiano huu katika kipindi ambacho Marekani imetangaza kupitia upya uhusiano wake na Tanzania kufuatia matukio ya Oktoba 29

Utenguzi huu wa Simbachawene unaonesha panda shuka yake katika safari ya kisiasa hususani katika nafasi ya Uwaziri. Kwani kwa nyakati tofauti amewahi kuondolewa kwenye Barazala Mawaziri na kisha kurejeshwa tena.

Mtoto wa Ali Kibao, Mohammed, anazungumza na The Chanzo kuhusu simanzi, jitihada zake za kutafuta haki na athari za mauaji ya baba yake kwenye maisha yake binafsi.

Kwenye hotuba hiyo, Rais Samia anaeleza mtazamo wake kwa kile kilichotokea, wahusika wakuu waliokuwa nyuma ya matukio hayo, pamoja na kile anachoamini ni malengo haswa ya vitendo hivyo ambavyo yeye amevipa jina la “vurugu.”

Wanaeleza kuwa tume hiyo inakosa uhalali wa kisheria

Pamoja na Waziri Mkuu kukubali kuwa watu waliofariki, ameeleza kuwa namba zinazotajwa hazina uhalisia.

Baadhi ya sura mpya katika Baraza jipya ni pamoja na Juma Zuberi Homera, Joel Arthur Nanauka, Paul Makonda pamoja na mtoto wa Rais Samia, Wanu Hafidh.

Baraza hilo limeshauri kuwepo na uchunguzi huru utakaoundwa na timu ya wadau kutoka nje na ndani ya nchi, kuchunguza matukio ya mauaji

Taarifa hiyo iliyosomwa na Sheikh Issa Othman ambaye ni Mjumbe wa Baraza la Ulamaa imeitaka serikali kuchukua hatua dhidi wa vinara wa matukio yaliyotokea toka Oktoba 29.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved