
Maumivu ya Kupanda kwa Bei ya Mafuta Yategemewa Tanzania, Dunia kwa Ujumla
Tathmini ya awali inaonesha bei ya mafuta kwa lita inaweza kupanda kufikia 4,000 na kuendelea

Tathmini ya awali inaonesha bei ya mafuta kwa lita inaweza kupanda kufikia 4,000 na kuendelea

Tume imependekeza mabadiliko ya sheria ya hifadhi ya Ngorongoro ikiwemo kufanya uhamaji kuwa endelevu

Wanawake hao wamezuiwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo Morogoro, Pwani na Geita

Malipo ya madai hayo yamefanyika kufuata Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoa wa Mwanza kufanya uchambuzi wa mfumo na halmashauri kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa.

Katika taarifa yake Bodi ya Ithibati imeonya kuwa mwandishi husika akirudia, Bodi hiyo haitasita kuchukua hatua kali zaidi za kinidhamu, ikiwa ni pamoja na kusimamisha au kufuta ithibati yake.

Dkt Mahfoudh anakuwa mwanamke wa tatu kushika wadhifa wa Naibu Gavana katika historia ya BOT, ambapo uteuzi wake umefuata uteuzi wa Sauda Msemo aliyeteuliwa na Rais Samia kuwa Naibu Gavana mnamo Juni 01, 2022.

Wawili hao wanatafutwa kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu

Marekani na Tanzania zinaeleza juu ya ushirikiano huu katika kipindi ambacho Marekani imetangaza kupitia upya uhusiano wake na Tanzania kufuatia matukio ya Oktoba 29

Utenguzi huu wa Simbachawene unaonesha panda shuka yake katika safari ya kisiasa hususani katika nafasi ya Uwaziri. Kwani kwa nyakati tofauti amewahi kuondolewa kwenye Barazala Mawaziri na kisha kurejeshwa tena.

Mtoto wa Ali Kibao, Mohammed, anazungumza na The Chanzo kuhusu simanzi, jitihada zake za kutafuta haki na athari za mauaji ya baba yake kwenye maisha yake binafsi.