Waziri Kiongozi Kenya Aunga Mkono Alichosema Rais Samia Juu ya Wanaharakati: ‘Kuna Ukweli’
Mudavadi anasema kuna hali ya kukosa heshima nchini Kenya hasa linapokuja suala la maoni
Mudavadi anasema kuna hali ya kukosa heshima nchini Kenya hasa linapokuja suala la maoni
Tanzania imeeleza kuwa kumekuwepo na tishio la kiusalama katika mpaka wa Tanzania na Uganda kutokana na mgogoro wa kimpaka.
Katika taarifa yake Polisi imeeleza kuwa inaendelea kuwafuatilia wahalifu waliotengeneza na kusambaza taarifa hizo.
Rais Samia ameviagiza vyombo vya ulinzi kuzuia wanaharakati wanaotoka nchi zingine na kujaribu kuingilia masuala ya Tanzania
Moja ya changamoto inayoeleza kuwakabili wanachama hao walioondoka CHADEMA ni ushawishi hafifu huku wengi wakiwaeleza kama watekelezaji wa mkakati unaoratibiwa na wengine
Ubishani kati ya Mawakili wa Lissu na wa Jamhuri umetokea Mahakamani hapo juu ya lini upelelezi utakamilika.
Ni pamoja na kunusurika kuuawa mara mbili, pamoja na kufanya kazi za usafi akiwa masomoni kusaidia shughuli za kanisa.
Wadau wakugusia nafasi ya teknolojia kuipeleka fasihi ya Kiswahili kimataifa, waandishi watoana hofu ya Akili Unde.
Leo Jumamosi ya Aprili 12, 2025, Tume ya Uchaguzi pamoja na vyama vya siasa vinategemewa kusaini maadili ya uchaguzi, ambapo Mkurugenzi wa UchaguziRamadhani kailima akiongea
Golugwa amefafanua zaidi kuwa michango hiyo imetumika kuendesha mikutano waliyoipanga kusini
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved