
Mwandishi wa Habari Aonywa na Bodi ya Ithibati kwa Kulalamikia Tukio la Uchelewaji wa Ndege ya ATCL. Wakili Ajitolea Kutoa Msaada wa Kisheria Ukihitajika
Katika taarifa yake Bodi ya Ithibati imeonya kuwa mwandishi husika akirudia, Bodi hiyo haitasita kuchukua hatua kali zaidi za kinidhamu, ikiwa ni pamoja na kusimamisha au kufuta ithibati yake.








