
CHADEMA Yaripoti Wanawake wa Chama Hicho Kuzuiwa na Polisi Usiku wa Manane—Kuhudhuria Sherehe za Wanawake Duniani
Wanawake hao wamezuiwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo Morogoro, Pwani na Geita

Wanawake hao wamezuiwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo Morogoro, Pwani na Geita

Malipo ya madai hayo yamefanyika kufuata Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoa wa Mwanza kufanya uchambuzi wa mfumo na halmashauri kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa.

Katika taarifa yake Bodi ya Ithibati imeonya kuwa mwandishi husika akirudia, Bodi hiyo haitasita kuchukua hatua kali zaidi za kinidhamu, ikiwa ni pamoja na kusimamisha au kufuta ithibati yake.

Dkt Mahfoudh anakuwa mwanamke wa tatu kushika wadhifa wa Naibu Gavana katika historia ya BOT, ambapo uteuzi wake umefuata uteuzi wa Sauda Msemo aliyeteuliwa na Rais Samia kuwa Naibu Gavana mnamo Juni 01, 2022.

Wawili hao wanatafutwa kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu

Marekani na Tanzania zinaeleza juu ya ushirikiano huu katika kipindi ambacho Marekani imetangaza kupitia upya uhusiano wake na Tanzania kufuatia matukio ya Oktoba 29

Utenguzi huu wa Simbachawene unaonesha panda shuka yake katika safari ya kisiasa hususani katika nafasi ya Uwaziri. Kwani kwa nyakati tofauti amewahi kuondolewa kwenye Barazala Mawaziri na kisha kurejeshwa tena.

Mtoto wa Ali Kibao, Mohammed, anazungumza na The Chanzo kuhusu simanzi, jitihada zake za kutafuta haki na athari za mauaji ya baba yake kwenye maisha yake binafsi.

Kwenye hotuba hiyo, Rais Samia anaeleza mtazamo wake kwa kile kilichotokea, wahusika wakuu waliokuwa nyuma ya matukio hayo, pamoja na kile anachoamini ni malengo haswa ya vitendo hivyo ambavyo yeye amevipa jina la “vurugu.”

Wanaeleza kuwa tume hiyo inakosa uhalali wa kisheria