Serikali Yatakiwa Kusitisha Kuhamisha Kwa Nguvu Wakazi wa Vijiji Nane Jirani na KIA
Wanaharakati pia wanataka viongozi wa Serikali wawajibishwe kwa kujihusisha na vitendo vinavyokiuka haki za binadamu.
Wanaharakati pia wanataka viongozi wa Serikali wawajibishwe kwa kujihusisha na vitendo vinavyokiuka haki za binadamu.
Wananchi wanalalamika Serikali kutumia mabavu kuwahamisha kwenye ardhi yao iliyobadilishwa kuwa hifadhi bila ushirikishwaji wa wanavijiji.
Bunge la Tanzania lilipitisha bajeti ya Wizara ya Kilimo kiasi cha shilingi trilioni 1.249 kwa mwaka wa fedha wa 2024/25 siku ya Mei 3, 2024.
Moja ya jambo ambalo linaonekana katika bajeti ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2024/25 ni kuwa bajeti hii imepungua kwa kiasi kikubwa, kwa takribani asilimia 38, hii ikiwa ni baada ya miaka minne ya bajeti kuongezeka.
Sehemu kubwa ya waliojiua ni vijana wa umri kati ya miaka 18 mpaka 35 ambapo walikua asilimia 46, huku ikifuatiwa na watu wenye umri miaka 36 mpaka 59 ambapo walikua asilimia 27. Kwa ujumla asilimia 71 ya matukio ni watu wenye umri chini ya miaka 35.Ripoti inaeleza zaidi kuwa sehemu kubwa ya watu waliojiua ni wanaume, hasa vijana.
Katika mwaka huu wa fedha 2024/25, bajeti ya TAMISEMI inachukua takribani asilimia 24 ya bajeti yote ya Serikali ingawa kwa ujumla bajeti hii haina utofauti sana na bajeti ya mwaka 2023/24
Serikali imesema jambo la kutoa kibali cha kuruhusu kilimo na matumizi ya bangi ni suala ambalo halitakiwi kufanyiwa maamuzi ya haraka, inabidi serikali ijipe muda kufanya tafiti za kutosha ili ifanye maamuzi yenye tija.
Jumla ya washindi 30, kutoka tanzu za riwaya, ushairi na hadithi za watoto, walitangazwa, huku washindi wa kwanza kutoka kila tanzu wakijishindia vyeti, ngao na fedha taslimu Shilingi milioni kumi kila mmoja.
Katika maisha yangu ya hivi karibuni msukosuko mkubwa nilioupata na familia yangu ikatisika kidogo ilikuwa ni masuala ya uraia na ikanifundisha vitu fulani fulani.
Utendaji mzuri ni wa kujisimamia wenyewe, waandishi waachiwe wajisimamie wenyewe.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved