
Bolt Yatangaza Utekelezaji wa Viwango Vipya vya Nauli Kuanzia Ijumaa, Mei Mosi
Watoa huduma katika sekta ya usafiri wa mtandao nchini kampuni ya Bolt Tanzania imetangaza kuanza utekelezaji wa ongezeko la nauli kwa asilimia 22 kuanzia Ijumaa, Mei 1, 2026.








