
Al-Hajj Nourdin Mushi (25) Kijana Anayefahamika kwa ‘Kupost’ Magari ya Kifahari Instagram Ahofiwa Kutekwa
Al-Hajj anadaiwa kutekwa mnamo Septemba 05, 2025, maeneo ya Kibo Complex Tegeta

Al-Hajj anadaiwa kutekwa mnamo Septemba 05, 2025, maeneo ya Kibo Complex Tegeta

TCRA imeeleza maudhui yaliyosababishwa kufungiwa kwa JamiiForums ni ya kupotosha umma, kukashifu na kudhalilisha Serikali na Rais wa Jamhuri ya Muungano

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa tamko kufuatia taarifa za kuvamiwa kwa ofisi za jukwaa la Jamii Forum. “LHRC tunasimama kwa mshikamano

Bendera za chama hicho zitapepea nusu mlingoti nchi nzima kuwakumbuka wanachama wao na wapigania demokrasia waliofungwa, kutekwa, kupotezwa na hata kuuwawa Tanzania

Njia hii ya kumnadi mgombea wa CCM inatajwa kama moja ya mkakati wa kumsogeza zaidi mioyoni mwa wapiga kura katikati ya ukosoaji wa vyama vya upinzani

Kufuatiwa kufungiwa kwa mtandao wa X, Instagram imeonekana kuibuka kama kiota kipya cha mijadala moto ya kisiasa, ikibadilisha namna watu walivyokuwa wakiichukulia.

Mahakama imetupilia mbali malalamiko hayo kwa makosa yaliyo onekana kwenye hati ya kiapo pamoja na hoja ya mlalamikaji hakupita katika ngazi stahiki za CCM kulalamika

Sehemu kubwa ya viongozi hao wa dini walionesha kupendezwa na utendaji wa Rais Samia kama sababu ya kummuunga mkono kuelekea uchaguzi unaokuja.

Rais Samia ameeleza wako walio nje ya nchi na ndani ya nchi wanaotaka kutumia kupanda kwa joto la kisiasa kuleta mivurugano katika jamii

Mikoa iliyoongoza katika kuzalisha ajira mpya ni pamoja na Dar es Salaam, ikifuatiwa na Morogoro, Mwanza, Mbeya na Geita.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved