
CCM Wazindua Kampeni za Uchaguzi 2025 Kwa Kumnadi Samia Kama Rais Aliyelivusha Taifa Katika Kipindi Kigumu
Njia hii ya kumnadi mgombea wa CCM inatajwa kama moja ya mkakati wa kumsogeza zaidi mioyoni mwa wapiga kura katikati ya ukosoaji wa vyama vya upinzani








