
Tume Yatoa Orodha Wabunge Viti Maalum: CCM-113, CHAUMMA-2
Katika orodha iliyotolewa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata viti 113 huku Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA) kikipewa viti viwili.

Katika orodha iliyotolewa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata viti 113 huku Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA) kikipewa viti viwili.

Sehemu kubwa ya jumbe ambazo zinaendelea kusambazwa mtandaoni ni zile za watu kuomboleza juu ya wapendwa wao waliofariki kwa kupigwa risasi na watumishi wa vyombo vya ulinzi katika maeneo mbalimbali ya Tanzania

Katika taarifa ya Msigwa ambayo imetoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi na kuchapwa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram amesema uamuzi huo ni kufuatia angalizo la kiusalama lililotolewa na Jeshi la Polisi kwa wakazi wa Dar es Salaam.

Tamko hilo lililotolewa mnamo Oktoba 24, 2025, limeangazia mazingira ya kisiasa na kiusalama likipiga kurunzi kwenye matukio ya utekaji yanayoonekana kushika mizizi Tanzania.

Katika taarifa iliyotolewa leo Jumanne, Oktoba 7, 2025, imeeleza kuwa Polisi inamtaka Augustino Polepole aweze kutoa maelezo yake na uthibitisho wa shutuma alizotoa kwamba kuna afisa wa Jeshi la Polisi amehusika katika kumteka ndugu yake.

Tamko hili linakuja ikiwa siku moja baada ya picha iliyosambaa ikiwaonesha Masista wa kituo cha Masista wa Mtakatifu Benedicto wa Msaada wa Kikristo Afrika kutoka Ndanda

Kachero wa Tanzania aliyehojiwa katika filamu hiyo alieleza ukamataji ulikuwa rahisi kama kumkamata kuku

Dhahabu imeendelea kuwa bidhaa inayokimbiliwa wakati wa mashaka, na kwa sasa duniani dhahabu imeendelea kupanda thamani kutokana na mahitaji kuongezeka.

Al-Hajj anadaiwa kutekwa mnamo Septemba 05, 2025, maeneo ya Kibo Complex Tegeta

TCRA imeeleza maudhui yaliyosababishwa kufungiwa kwa JamiiForums ni ya kupotosha umma, kukashifu na kudhalilisha Serikali na Rais wa Jamhuri ya Muungano