
Filamu Yaonesha Haikua Kazi Ngumu kwa Polisi Tanzania Kumkamata Mhalifu Aliyetoroka Jela Afrika Kusini, Thabo Bester na Mpenzi Wake Dk. Nandipha Baada Kazi Hiyo Kushindikana Afrika Kusini
Kachero wa Tanzania aliyehojiwa katika filamu hiyo alieleza ukamataji ulikuwa rahisi kama kumkamata kuku








