
Polisi: Hatuendi Vitani Lakini Tunaenda Kusimamia Usalama, Amani, Utulivu Kabla, Wakati na Baada ya Uchaguzi
Polisi wameeleza kuwa tayari wameweka mikakati ya kujiandaa na uchaguzi na kuhakikisha serikali inaingia madarakani bila kikwazo chochote

Polisi wameeleza kuwa tayari wameweka mikakati ya kujiandaa na uchaguzi na kuhakikisha serikali inaingia madarakani bila kikwazo chochote

The Temeke Municipal Council maintains that the targeted land is public property and accuses the residents of being illegal occupants, despite some saying they have lived in the area for decades.

The party’s baseline fundraising target is Sh100 billion.

Wagombea waliokabidhiwa fomu ni pamoja na Hassan Kisabya Almas wa chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) aliyefika pamoja na mgombea mwenza Hamis Ali Hassan.Wagombea wengine waliokabidhiwa fomu ni Kunje Ngombare Mwiru wa chama cha Alliance for Africa Farmers Party (AAFP), aliyefika pamoja na mgombea mwenza Chumu Abdallah Juma.

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Rais Samia, aliyeingia madarakani hapo Machi 19, 2021, kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha Urais kama mgombea kwani mara zote alizoshiriki – alifanya hivyo akiwa mgombea mwenza wa hayati Rais Magufuli.

Kampuni hiyo inaleza kuwa hatua hii ni muhimu katika kurahisha usafirishaji wa madini kutoka DR Congo

Majaji wa Mahakama ya Rufani wamesema haikuwa sawa kwa Mahakama Kuu kutengua uamuzi uliopa akina Mwana FA ushindi kwa madai mahakama haikuwa na nguvu ya kisheria kusikiliza shauri hilo.

Kati ya wajumbe 357 waliohudhuria mkutano huo waliopiga kura walikuwa 340 ambapo Mwalimu alipata kura 336 za ndio na kura 4 za hapana. Huku Devotha Minja yeye alipata kura 335 za ndio huku kura za hapana zikiwa 6.

Amedai kuwa kwa sasa dhana ya ‘No Reforms, No Election’ ya CHADEMA imekosa uhalisia kwani haiwezekani kuzuia uchaguzi ambao upo kikatiba na chama hiko hakina mkakati wowote wa kutekeleza hilo.

Katika wabunge walioangukia pua katika mchakato huo wa kura za maoni, wapo wabunge wakongwe waliokaa bungeni kwa zaidi ya miaka 20, lakini pia wapo wabunge ambao wamehudumu kwa kipindi cha muhula mmoja tu. Lakini kubwa zaidi ni zaidi ya Naibu Mawaziri saba wameangushwa na kuachwa mbali kwa kura kwenye majimbo yao.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved