
Yericko Nyerere: Tunakwenda CHAUMMA na ‘No Reforms, No Election’ ya Mbowe
Amedai kuwa kwa sasa dhana ya ‘No Reforms, No Election’ ya CHADEMA imekosa uhalisia kwani haiwezekani kuzuia uchaguzi ambao upo kikatiba na chama hiko hakina mkakati wowote wa kutekeleza hilo.








