
Mahakama ya Rufani Yaelekeza Kesi ya Akina Mwana FA, AY na Tigo Kurudi Mahakama Kuu
Majaji wa Mahakama ya Rufani wamesema haikuwa sawa kwa Mahakama Kuu kutengua uamuzi uliopa akina Mwana FA ushindi kwa madai mahakama haikuwa na nguvu ya kisheria kusikiliza shauri hilo.








