Kitila Mkumbo: Hoja za Wanaopinga Uraia Pacha Hazina Mashiko
Awataka watoe hoja zenye mantiki na siyo kujificha kwenye kivuli cha Mwalimu Nyerere.
Awataka watoe hoja zenye mantiki na siyo kujificha kwenye kivuli cha Mwalimu Nyerere.
Utegemezi wetu katika tabianchi ya eneo kwa ajili ya kufanya kilimo chetu ndiyo inapelekea kwamba tunaathirika zaidi kama wananchi.
Asema hana matumaini na kizazi cha sasa katika kujenga jamii mpya, ataka nguvu ziwekezwe kwa vizazi vijavyo.
Apigia chapuo Kiingereza kutumika kama lugha ya kufundishia, akisema ni muhimu kwa Watanzania kujifunza lugha nyingi za kigeni kadiri inavyowezekana.
Mtaalamu abainisha maeneo mawili makubwa ambapo athari za mabadiliko ya tabianchi zinadhihirika Tanzania: mvua na ukame.
Joto likiongezeka hubadilisha viashiria vingine vya hali ya hewa na tabianchi ya eneo kama vile mvua, joto la eneo, upepo nakadhalika.
Ni mabadiliko yanayotokea katika vile viwango vya wastani wa hali ya hewa katika eneo fulani kwa muda mrefu.
Kilimo cha umwagiliaji inaonekana ni eneo la kipaumbele cha Serikali ya awamu ya sita katika Sekta ya kilimo
Uchambuzi wa The Chanzo umebainisha kwamba wakati wizara hiyo inafanya vizuri kwenye baadhi ya maeneo, nguvu zaidi zinahitajika kuwekezwa kwenye kurekebisha mapungufu ya msingi.
Asifu hatua ya Serikali kufadhili kazi za uandishi bunifu; asema haoni uamuzi huo ukikinzana na dhana ya uhuru wa mwandishi.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved