The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Mwandishi Wetu

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Yatoa Ufafanuzi Takwimu za Wapiga Kura

Mkurugenzi wa Uchaguzi ambaye pia ni Katibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC), Ramadhani Kailima amesema kuwa hakuna takwimu za wapiga kura zilizoongezeka kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kama ilivyolinganishwa na baadhi ya watu na takwimu za makadirio ya wapiga kura kwa mujibu wa Sensa.

Vigogo Sita Hawatakuwa na Mpinzani Kura za Maoni CCM Majimboni

Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa(NEC) ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ametoa orodha ya majina ya wana CCM waliopita kwenye mchujo wa Kamati Kuu kwa ajili ya kwenda kupigiwa kura za maoni majimboni kwenye mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishhi wa chama hiko kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

×