
CCM Yaeleza Sababu ya Kufanya Mkutano Mkuu wa Ghafla Kwa Njia ya Mtandao: ‘Marekebisho Madogo ya Katiba’
Hatua hii inaifanya CCM kuweka rekodi kwa kufanya Mkutano Mkuu wake mara tatu katika mwaka wa uchaguzi katika historia nzima ya uwepo wake.

Hatua hii inaifanya CCM kuweka rekodi kwa kufanya Mkutano Mkuu wake mara tatu katika mwaka wa uchaguzi katika historia nzima ya uwepo wake.

Mwenda amaeeleza kuwa katika mwezi mmoja huo watafanya kampeni ya kutoa elimu nchi nzima.

Butiku alitupa lawama kwa Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete kwa kueleza kuwa ushauri wake ulisababisha makosa ya kiutaratibu.

Mwanasiasa huyo mkongwe wa upinzani nchini amesisitiza kuwa salama au kesho ya iliyo bora kwa taifa la Tanzania itapatikana kwa kuweka tofauti za kiitikadi, imani, dini na kabila pembeni ili kujenga taifa moja la watu wenye mshikamano.

Ripoti hiyo inaeleza wafanyakazi 20,000 waliokuwa wakifadhiliwa na USAID na wafanyakazi 30,000 waliokuwa wakipokea malipo ya ziada wataathirika na suala hilo

Kikao hiko ambacho kitaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan kitatanguliwa na kikao cha sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM inayoendelea kuketi jijini Dodoma kuendelea na mchakato wa mchuo wa watia nia ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya ajenda za kikao cha Kamati Kuu.

Katika maamuzi yake Mahakama ilieleza kuwa waleta maombi hawajaweza kuishawishi Mahakama kuwa wana msalahi ya kutosha katika kanuni hizo, Mahakama ikieleza kuwa waleta maombi ni majirani tu na sio wenye haki ya kushitaki dhidi ya kanuni.

“ Kwa utaratibu wetu na mchakato ndani ya Chama cha Mapinduzi mpaka sasa hakuna mtu aliyeenguliwa au kukatwa kama ambavyo inaripotiwa katika vyombo vya habari,”

CHADEMA wameeleza kuwa viongozi hao wawili walikuwa kwenye safari za kuhudhuria vikao pamoja na mafunzo nje ya nchi baada ya chama hiko kupewa mwaliko.

“Kwa kuwa siwezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba ya nchi na chama, haki, maadili, utu na uwajibikaji kwa wananchi, nimeamua kwa hiari yangu kujiuzulu nafasi yangu ya uongozi na utendaji serikalini.”
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved