
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Yafanikiwa Kuwaandikisha Watanzania Milioni 37.6
Akiongea mnamo Julai 26, 2025, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kupiga kura.

Akiongea mnamo Julai 26, 2025, Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kupiga kura.

Mabadiliko haya yanakuwa nyongeza ya mabadiliko ya mfumo wa uteuzi wagombea wa CCM wa nafasi za dola yaliyofanywa katika mkutano mkuu wa mwezi Mei, 2025 uliofanyika jijini Dodoma.

Hatua hii inaifanya CCM kuweka rekodi kwa kufanya Mkutano Mkuu wake mara tatu katika mwaka wa uchaguzi katika historia nzima ya uwepo wake.

Mwenda amaeeleza kuwa katika mwezi mmoja huo watafanya kampeni ya kutoa elimu nchi nzima.

Butiku alitupa lawama kwa Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete kwa kueleza kuwa ushauri wake ulisababisha makosa ya kiutaratibu.

Mwanasiasa huyo mkongwe wa upinzani nchini amesisitiza kuwa salama au kesho ya iliyo bora kwa taifa la Tanzania itapatikana kwa kuweka tofauti za kiitikadi, imani, dini na kabila pembeni ili kujenga taifa moja la watu wenye mshikamano.

Ripoti hiyo inaeleza wafanyakazi 20,000 waliokuwa wakifadhiliwa na USAID na wafanyakazi 30,000 waliokuwa wakipokea malipo ya ziada wataathirika na suala hilo

Kikao hiko ambacho kitaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan kitatanguliwa na kikao cha sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM inayoendelea kuketi jijini Dodoma kuendelea na mchakato wa mchuo wa watia nia ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya ajenda za kikao cha Kamati Kuu.

Katika maamuzi yake Mahakama ilieleza kuwa waleta maombi hawajaweza kuishawishi Mahakama kuwa wana msalahi ya kutosha katika kanuni hizo, Mahakama ikieleza kuwa waleta maombi ni majirani tu na sio wenye haki ya kushitaki dhidi ya kanuni.

“ Kwa utaratibu wetu na mchakato ndani ya Chama cha Mapinduzi mpaka sasa hakuna mtu aliyeenguliwa au kukatwa kama ambavyo inaripotiwa katika vyombo vya habari,”
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved