
IMF: Wafanyakazi 50,000 Kwenye Sekta ya Afya Tanzania Kuathiriwa na Kufungwa kwa USAID
Ripoti hiyo inaeleza wafanyakazi 20,000 waliokuwa wakifadhiliwa na USAID na wafanyakazi 30,000 waliokuwa wakipokea malipo ya ziada wataathirika na suala hilo

Ripoti hiyo inaeleza wafanyakazi 20,000 waliokuwa wakifadhiliwa na USAID na wafanyakazi 30,000 waliokuwa wakipokea malipo ya ziada wataathirika na suala hilo

Kikao hiko ambacho kitaongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan kitatanguliwa na kikao cha sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM inayoendelea kuketi jijini Dodoma kuendelea na mchakato wa mchuo wa watia nia ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya ajenda za kikao cha Kamati Kuu.

Katika maamuzi yake Mahakama ilieleza kuwa waleta maombi hawajaweza kuishawishi Mahakama kuwa wana msalahi ya kutosha katika kanuni hizo, Mahakama ikieleza kuwa waleta maombi ni majirani tu na sio wenye haki ya kushitaki dhidi ya kanuni.

“ Kwa utaratibu wetu na mchakato ndani ya Chama cha Mapinduzi mpaka sasa hakuna mtu aliyeenguliwa au kukatwa kama ambavyo inaripotiwa katika vyombo vya habari,”

CHADEMA wameeleza kuwa viongozi hao wawili walikuwa kwenye safari za kuhudhuria vikao pamoja na mafunzo nje ya nchi baada ya chama hiko kupewa mwaliko.

“Kwa kuwa siwezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba ya nchi na chama, haki, maadili, utu na uwajibikaji kwa wananchi, nimeamua kwa hiari yangu kujiuzulu nafasi yangu ya uongozi na utendaji serikalini.”

Kesi hiyo ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mkuu wa Jeshi la Polisi inategemewa kusikilizwa kesho Julai 11, 2025

Akizungumza leo makao makuu ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam amesema kuwa kwa nafasi ya wabunge wa majimbo 272 ya uchaguzi nchini, watia 3,585 wamechukua upande wa bara na 524 wamechukua upande wa Zanzibar. Kati ya watia nia hao 4,109 walioenda majimboni wanawake ni 263. Uwakilishi Zanzibar waliochukua fomu ni 503.

Wataeule hao walitakiwa kuandika rasmi kuonesha nia zao za kuingia kwenye uchaguzi ujao.

Tanzania imesema inachunguza tuhuma za kutesa na kuwadhalilisha kingono wanaharakati
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved