
Kenya Yaiandikia Serikali ya Tanzania Kuhusu Kushikiliwa kwa Mwanaharakati Boniface Mwangi. Ripoti Zaonesha Mwangi Amerudishwa Kenya Leo Mei 22
Hata hivyo vyombo vya habari nchini Kenya vimeripoti kuwa Mwanaharakati huyo amekwisha fikishwa nchini Kenya kwa barabara leo Mei 22, 2025, huko Ukunda.








