
Watanzania Wawachangia CHADEMA Milioni 105. CHADEMA Wasisitiza Vuguvugu la ‘No-reform’ Sio Uasi
Golugwa amefafanua zaidi kuwa michango hiyo imetumika kuendesha mikutano waliyoipanga kusini

Golugwa amefafanua zaidi kuwa michango hiyo imetumika kuendesha mikutano waliyoipanga kusini

Hati ya mashtaka inaonesha Lissu anatuhumiwa kosa hilo kutokana na maneno aliyoyasema mnamo April 03, 2025,

Tundu Lissu amekamatwa na kupelekwa kituo cha polisi Mbinga pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA

Amos Makalla, Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), yuko matatani kwa kudai kwamba chama cha upinzani, CHADEMA, kinakusanya fedha ili ‘kikanunue’ virusi vya Mpox na Ebola kwa ajili ya shambulio la kibaiolojia ili kuvuruga uchaguzi nchini.

Kampuni kadhaa za wageni zinafanya kazi mtandaoni bila usajili wala leseni, maduka yote 29 yanayofanya kazi mtandaoni yaliyoangaliwa na kamati hayakua na leseni. Kati ya majukwaa 14 ya mtandaoni, 12 hayakuwa na leseni

Kada huyo wa CCM anatetea demokrasia ndani ya chama hicho kikongwe barani Afrika, uteuzi wa Rais Samia kama mgombea wa CCM kwa nafasi ya urais kwenye uchaguzi ujao, na madai ya CCM kutumia vyombo vya dola kubakia madarakani.

Akizungumza na vyombo vya habari mnamo Februari 6,2025, Katibu Mkuu UN, António Guterres, ametoa rai juu ya mkutano unaoanza Tanzania leo Februari 07, 2025

Maria Sarungi anatajwa kutekwa na watu watatu wenye silaha katika eneo la Chaka

Makada hawa wanawania nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Ujumbe wa Kamati Kuu na uongozi wa mabaraza ya chama hicho.

Danstan Daud Mtajura ni Afisa Mwandamizi wa serikali aliyehusika katika majadiliano mbalimbali katika sekta ya madini
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved