
Hakimu Kesi ya Uhaini ya Lissu Atoa Wito Upelelezi Kuharakishwa na Jamhuri Kutoa Taarifa Mei 19, 2025 Itakapotajwa Tena
Ubishani kati ya Mawakili wa Lissu na wa Jamhuri umetokea Mahakamani hapo juu ya lini upelelezi utakamilika.

Ubishani kati ya Mawakili wa Lissu na wa Jamhuri umetokea Mahakamani hapo juu ya lini upelelezi utakamilika.

Ni pamoja na kunusurika kuuawa mara mbili, pamoja na kufanya kazi za usafi akiwa masomoni kusaidia shughuli za kanisa.

Wadau wakugusia nafasi ya teknolojia kuipeleka fasihi ya Kiswahili kimataifa, waandishi watoana hofu ya Akili Unde.

Leo Jumamosi ya Aprili 12, 2025, Tume ya Uchaguzi pamoja na vyama vya siasa vinategemewa kusaini maadili ya uchaguzi, ambapo Mkurugenzi wa UchaguziRamadhani kailima akiongea

Golugwa amefafanua zaidi kuwa michango hiyo imetumika kuendesha mikutano waliyoipanga kusini

Hati ya mashtaka inaonesha Lissu anatuhumiwa kosa hilo kutokana na maneno aliyoyasema mnamo April 03, 2025,

Tundu Lissu amekamatwa na kupelekwa kituo cha polisi Mbinga pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA

Amos Makalla, Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), yuko matatani kwa kudai kwamba chama cha upinzani, CHADEMA, kinakusanya fedha ili ‘kikanunue’ virusi vya Mpox na Ebola kwa ajili ya shambulio la kibaiolojia ili kuvuruga uchaguzi nchini.

Kampuni kadhaa za wageni zinafanya kazi mtandaoni bila usajili wala leseni, maduka yote 29 yanayofanya kazi mtandaoni yaliyoangaliwa na kamati hayakua na leseni. Kati ya majukwaa 14 ya mtandaoni, 12 hayakuwa na leseni

Kada huyo wa CCM anatetea demokrasia ndani ya chama hicho kikongwe barani Afrika, uteuzi wa Rais Samia kama mgombea wa CCM kwa nafasi ya urais kwenye uchaguzi ujao, na madai ya CCM kutumia vyombo vya dola kubakia madarakani.