
Kwa Watanzania Waliofariki 2024, Tunawakumbuka na Kusherehekea Maisha Yenu
“Wafu wetu kamwe hawawi wafu kwetu mpaka pale tunapokuwa tumewasahau.”

“Wafu wetu kamwe hawawi wafu kwetu mpaka pale tunapokuwa tumewasahau.”

Tunawapongeza kwa huduma zao hizo kwa jamii, na kutumai kwamba kutambuliwa kwao huko kutawahamasisha wengine kubuni mbinu anuwai zitakazowawezesha kuzitumikia vyema jamii zao.

Taarifa hiyo inaeleza zaidi kuwa sababu kubwa ya kuiongeza Air Tanzania kwenye mashirika yaliyozuiwa ni zile za kiusalama wa anga ambazo zimeainishwa na Wakala wa Usalama wa Anga wa Umoja wa Ulaya (EASA).

Hali ya watekaji kupendelea kutumia Landcruiser nyeupe ni hali inayojirudia rudia katika matukio mbalimbali.

Nondo alikuwa akitoka Kigoma alipokuwa kwenye shughuli za chama

Wananchi waliopiga kura siku ya tarehe 27 Novemba, 2024 ni 26,963,182 sawa na asilimia 86.36 ya wananchi waliokuwa na sifa ya kupiga kura.

Wafuatiliaji wa siasa wameonesha hofu yao kuwa kama CHADEMA ikipoteza kuaminika kwa wananchi, itakuwa vigumu kujipanga na kuongoza vuguvugu katika sera zake.

Katika taarifa yake LHRC imelaani vikali matukio haya ya mauaji, na kueleza kuwa yanakwenda kinyume na Katiba ya Tanzania.

Katika taarifa kwa vyombo vya habari na ujumbe mfupi kwa wateja wao, Vodacom na Benki ya TCD wameeleza kuwa taarifa za kufungwa kwa M-Koba ni za uongo na uzushi zilizolenga kuleta taharuki kwenye jamii.

Kauli ya mtoto wa mwanasiasa huyo kwa Kiongozi Mkuu wa nchi inakuja takriban miezi miwili tangu kuripotiwa kwa taarifa za kutekwa na kuuwawa kwa mzazi wake.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved