
Mazito Yaibuka Ripoti Ya Wafanyabiashara Wa Kigeni Kariakoo: ‘Wako Waliopiga Simu Kuzuia Uchunguzi’
Kampuni kadhaa za wageni zinafanya kazi mtandaoni bila usajili wala leseni, maduka yote 29 yanayofanya kazi mtandaoni yaliyoangaliwa na kamati hayakua na leseni. Kati ya majukwaa 14 ya mtandaoni, 12 hayakuwa na leseni








