Lissu Apandishwa Kizimbani Shtaka la Uhaini
Hati ya mashtaka inaonesha Lissu anatuhumiwa kosa hilo kutokana na maneno aliyoyasema mnamo April 03, 2025,
Hati ya mashtaka inaonesha Lissu anatuhumiwa kosa hilo kutokana na maneno aliyoyasema mnamo April 03, 2025,
Tundu Lissu amekamatwa na kupelekwa kituo cha polisi Mbinga pamoja na wanachama wengine wa CHADEMA
Amos Makalla, Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), yuko matatani kwa kudai kwamba chama cha upinzani, CHADEMA, kinakusanya fedha ili ‘kikanunue’ virusi vya Mpox na Ebola kwa ajili ya shambulio la kibaiolojia ili kuvuruga uchaguzi nchini.
Kada huyo wa CCM anatetea demokrasia ndani ya chama hicho kikongwe barani Afrika, uteuzi wa Rais Samia kama mgombea wa CCM kwa nafasi ya urais kwenye uchaguzi ujao, na madai ya CCM kutumia vyombo vya dola kubakia madarakani.
Akizungumza na vyombo vya habari mnamo Februari 6,2025, Katibu Mkuu UN, António Guterres, ametoa rai juu ya mkutano unaoanza Tanzania leo Februari 07, 2025
Maria Sarungi anatajwa kutekwa na watu watatu wenye silaha katika eneo la Chaka
Makada hawa wanawania nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Ujumbe wa Kamati Kuu na uongozi wa mabaraza ya chama hicho.
Danstan Daud Mtajura ni Afisa Mwandamizi wa serikali aliyehusika katika majadiliano mbalimbali katika sekta ya madini
“Wafu wetu kamwe hawawi wafu kwetu mpaka pale tunapokuwa tumewasahau.”
Tunawapongeza kwa huduma zao hizo kwa jamii, na kutumai kwamba kutambuliwa kwao huko kutawahamasisha wengine kubuni mbinu anuwai zitakazowawezesha kuzitumikia vyema jamii zao.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved