Jenerali Mabeyo Aeleza Mazito Yaliyoibuka Baada ya Kifo Cha Magufuli, ‘Inawezekana Watu Katiba Walikuwa Wameisahau Kidogo’
Nje ya wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama yaani Venance Mabeyo, Diwani Athumani Msuya na Simon Sirro. Watu wa kwanza kupewa taarifa za kifo cha Magufuli walikuwa ni Katibu Mkuu Kiongozi Bashiru Ally na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa