
Msigwa: Watumishi wa Umma Wafanyie Kazi Nyumbani Kasoro Wenye Majukumu ya Kazi Yanayowataka Kuwepo Eneo la Kazi
Katika taarifa ya Msigwa ambayo imetoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi na kuchapwa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram amesema uamuzi huo ni kufuatia angalizo la kiusalama lililotolewa na Jeshi la Polisi kwa wakazi wa Dar es Salaam.








