
How the World Created the Pegasus Menace
If NSO is to be held responsible for how Pegasus is used, should knife makers be made responsible for how knives are used also?

If NSO is to be held responsible for how Pegasus is used, should knife makers be made responsible for how knives are used also?

Mbali na kukumbana na changamoto mbalimbali, wajasiriamali wanaotumia mitandao kufanya shughuli zao ambao The Chanzo imeongea nao walikiri kwamba mitandao ya kijamii imekuwa mkombozi kwao kwani inawasaidia kuendesha maisha yao kiurahisi.

Kwa mujibu wa wahanga, video nyingi za utupu zinazosambaa mitandaoni zimevujishwa na kikundi cha wahalifu walioamua kuchukua hatua hiyo baada ya mabinti husika kukataa kutoa fedha ambazo wahalifu hao wamekuwa wakiwaomba ili wasivujishe video hizo za kashfa.

We should not burden teenagers interested in flying drones using light recreational drones with heavy aviation regulations aimed at protection regarding high-end commercial drones.

How does one get comfortable that a government is disciplined enough to distinguish between real national security threats from purely selfish political interests in its decision to censor the internet?

Billboards, posters, and other creatives, this is the look of major cities in Tanzania. It’s election time. Unlike the 2015 election, however, this time we see the prominence of the ruling Chama cha Mapinduzi’s (CCCM) adverts; it’s all green and yellow in every corner of Tanzania.

While the 2020 general election campaign is underway, there is a notable intensification of news stories that are fabricated with no verifiable facts, sources, or quotes that may make them even slightly trustworthy.

“More than once we have heard government officials complaining that social media are being used to spread ‘fake news.'”

Tanzania inatajwa kutokuwa vizuri kwenye eneo la haki na usalama wa kimtandao. Serikali na makampuni ya simu ni wadau wawili wakuu wanaotupiwa lawama kwa hali ambayo Tanzania inajikuta kwa sasa kwenye eneo hilo.