Pongezi kwa Akina Baba Wote Wanaojenga Taswira Mpya ya Kuwa Baba
Sisi ni kizazi kipya cha wababa, tuendelee kutafakari safari zetu za malezi ili tuendelee kuwa baba wa tofauti, baba wa karibu, baba shupavu kweli kweli.
Sisi ni kizazi kipya cha wababa, tuendelee kutafakari safari zetu za malezi ili tuendelee kuwa baba wa tofauti, baba wa karibu, baba shupavu kweli kweli.
Tukiwalea watoto wanaojali mazingira, tunawafundisha pia kuwa na huruma, kuwa na maono ya mbali, na kutenda kwa uadilifu.
Tumewalea watoto wetu kwa upendo, tumeona wakikua, wakajitegemea, na hata kuanzisha familia zao wenyewe.
Hatuhitaji kuwa matajiri ili kuwalea watoto wenye maarifa ya kifedha. Hatuhitaji kila kitu kiwe sawa.
Kumlinda mtoto wa kiume ni pamoja na kumpa uhuru wa kuwa yeye, bila hofu ya kubezwa au kudhalilishwa.
Baleghe si jambo la watoto wetu peke yao; ni safari tunayopaswa kuitembea nao. Tukiwasikiliza na kuwaheshimu, tunawajengea msingi wa maisha yenye afya, heshima, na uelewa.
Watoto wetu wanashirikiana kwa karibu sana; wanacheza pamoja, wanagusa kila kitu kwa pamoja, na mara nyingine hata kushirikiana vikombe au vyombo.
Ratiba ya kulala inayojirudia kila siku ni msaada mkubwa. Tuhakikishe pia kuwa mtoto analala mchana kwa muda unaotosha.
Upendo wa kweli na nia njema ya mzazi vinaweza kubadili kabisa maisha ya mtoto bila kujali tamaduni na mazingira.
Wakiwa watu wazima, watoto hao wanaingia katika mahusiano wakiwa na njaa ya kupendwa, lakini pia na hofu kubwa ya kupenda.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved