Twaha Mwaipaya: Rais Samia Hawezi Kukwepa Hitaji la Katiba Mpya

Na Mwandishi Wetu 1 August 2022
Kada huyo wa CHADEMA anasema wao kama chama hawatabweteka kufuatia kauli ya CCM kwamba Katiba Mpya inahitajika bali wataendelea kuchochea uhuishwaji wa mchakato huo.

Mwanahamisi Singano: Mfumo Dume Huwabeba Wanaoutetea na Kuwaadhibu Wanaotaka Kuubomoa

Na Mwandishi Wetu 26 April 2022
Mwanaharakati huyo anautaja mfumo dume kama chanzo kikuu cha matatizo mengi katika jamii kwani unalenga kuifanya jamii kuwa yenye manufaa kwa jinsia moja (ya wanaume) kwa gharama ya jinsia nyengine (ya wanawake)

Tito Magoti Amdadisi Jenerali Ulimwengu Nafasi ya Wananchi Kudhibiti Viongozi Wao

Na Mwandishi Wetu 20 October 2021
Ulimwengu anasema Katiba Mpya ni muhimu kwani itawaokoa watu na upigaji ramli katika uendeshaji wa nchi.

Catherine Ruge: Mambo Niliyopitia Kwenye Maisha Yamenifanya Niwe Imara Zaidi

Na Mwandishi Wetu 16 October 2021
Nje ya siasa na harakati, Catherine anatumia muda mwingi na watoto wake, anasema pia anakipenda sana kitanda chake.
{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

{{ category }}{{ date }}

{{ title }}

Subscribe to Our Newsletter

The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved