Kwa Nini ni Muhimu kwa Wazazi Kujifunza Kuhusu Huduma ya Kwanza?
Huduma ya kwanzaa ni muhimu kwa kuwa inaweza kuokoa maisha ya mtoto wakati ambapo msaada wa kitaalamu hauko karibu, au kabla ya kumpeleka hospitalini kwa matibabu zaidi.
Huduma ya kwanzaa ni muhimu kwa kuwa inaweza kuokoa maisha ya mtoto wakati ambapo msaada wa kitaalamu hauko karibu, au kabla ya kumpeleka hospitalini kwa matibabu zaidi.
Ni vyema kufikiria kufanya mabadiliko ya mtindo wa maisha yako na pia jitahidi kupunguza msongo wa mawazo ili kuilinda afya yako.
Wazazi tukumbuke kwamba kuimarisha misingi ya maadili mema kwa watoto wetu si jambo linalofanyika mara moja, bali ni mchakato endelevu unaohitaji uvumilivu na umakini.
Wataalamu wa malezi wanaamini kwamba asilimia kubwa ya malezi ni kutambua, kukubali na kuenzi upekee wa mtoto.
Ni muhimu kumfundisha mtoto kuwa, kila mtu ana haki ya kusema ndio au hapana pale mtu akitaka kuvuka mipaka yake binafsi.
Uonevu huwaathiri watoto kimwili pale mtoto anapopigwa na mwezake na kubaki na maumivu sehemu za mwili, michubuko au alama za kupigwa.
Watoto ni zawadi tuliyopewa na Mwenyenzi Mungu, Hivyo basi, wazazi na walezi tunapaswa kuwalea na kuwatunza watoto wetu kwa ukaribu kadri tuwezavyo.
Kuanzia umri wa miezi sita, watoto wanaweza kuanza kupewa vyakula vya nyongeza pamoja na kunyonyeshwa, huku maziwa ya mama bado yakibaki kuwa chanzo kikubwa cha lishe.
Huwezi kuendesha gari kama gari lenyewe halina mafuta, hivyo huwezi ukaendesha familia yako kama inavyopaswa kama afya yako imedhoofika.
Watafiti wanaamini kuwa watoto wengi ambao wamejipangia malengo hua na motisha kubwa zaidi kutimiza malengo hayo.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved