
Je, Mbinu Zote za Malezi Yaliyotulea Sisi Bado Zinafaa?
Malezi si mkataba wa kurithishana bila mabadiliko; ni safari ya kukua pamoja na watoto wetu.

Malezi si mkataba wa kurithishana bila mabadiliko; ni safari ya kukua pamoja na watoto wetu.

Marafiki wa kweli watakubali utu wao, mapungufu yao, furaha yao, na mipaka yao.

Tafiti zinasema huenda si kosa lako ni sehemu ya ukuaji wake.

Jukumu la malezi ni kuchukua hatua ndogo ndogo kila siku.

Tukianza sisi wenyewe kula mboga, kunywa maji, kuepuka sukari kupita kiasi watoto watafuata.

Hata sisi hatukupenda kufokewa, kutukanwa wala kupigwa; hivyo tujitahidi kutokuendeleza tabia hizo kwa watoto wetu.

Kadri watoto wanavyoendelea kurudia kuona au kusikiliza maudhui yasiyofaa, kama vurugu na lugha chafu ndivyo wanavyoanza kuyaona haya kama sehemu ya maisha ya kawaida.

Sisi ni kizazi kipya cha wababa, tuendelee kutafakari safari zetu za malezi ili tuendelee kuwa baba wa tofauti, baba wa karibu, baba shupavu kweli kweli.

Tukiwalea watoto wanaojali mazingira, tunawafundisha pia kuwa na huruma, kuwa na maono ya mbali, na kutenda kwa uadilifu.

Tumewalea watoto wetu kwa upendo, tumeona wakikua, wakajitegemea, na hata kuanzisha familia zao wenyewe.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved