Maarifa 6 ya Jamii Ambayo Mtoto Anaweza Kujifunza Wakati Huu wa Likizo
Ili watoto waweze kuwa na mahusiano bora na marafiki zao pamoja na watu wanaowazunguka na kuwa watu wazima, wenye wajibu na busara, basi sisi kama wazazi inatupasa kuwafundisha maarifa mema yaliyopo katika jamii.