Tanzania’s Roads Are a Metaphor for Its People’s Daily Lives
All we have to do is avoid the road, and then we can live happily ever after!
All we have to do is avoid the road, and then we can live happily ever after!
Unashangilia mafanikio, ndiyo, lakini ungekuwa unaogopa kutoa maoni yako kama unaona mafanikio hayapatikani?
You can use violence to create fear and subservience, but you cannot remove the anger that calls for resistance.
Yawezekana Henry alifanya mengine mengi mazuri, lakini historia inamkumbuka kama muuaji wa Becket tu.
However, hitting the sharks or any other sea creature over the head is not going to remove the undercurrents of bitterness and frustration.
Kwa mfano, endapo washindani wote wameenguliwa kwenye kinyang’anyiro, kitakachofanyika hapa kinastahili kweli kuitwa “uchaguzi?”
Serikali inatoa ahadi tamutamu bila kujali kwamba ahadi ni deni. Ndiyo maana ahadi imekuwa duni, na watu wanaumia.
Mkinzano huu pia utavikumba vyama vyote kwa kadiri pengo kati ya walala hoi na walalahai linazidi kuongezeka na ahadi za maisha bora zinaonekana hazitatimia hazijatekelezwa bado, bali ni kwa sababu hazitekelezeki.
At the same time, should we deprive our children of a holiday that they have looked forward to all year, with exceptional food, clothes, and presents, a special time of celebration for them?
Iwapo wanafunzi wengine wataondolewa kwenye shule ya mtaani kwao, kwa kuwa hawawezi kulipa ada katika mfumo wa elimu bila ada, ina maana kwamba shule imebinafsishwa kwa wanaolipa ada hii.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved