https://thechanzo.com/wp-content/uploads/2020/11/chadema2-1.jpg

Jumapili ya Novemba 8, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitoa taarifa kuwa vyama vyenye sifa ya kupata ubunge wa viti maalumu ni chama tawala Chama cha Mapinduzi (CCM) na chama kikuu cha upinzani nchini Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Hii inatokana na ukweli kwamba ni vyama hivyo tu pekee nchini Tanzania ndivyo ambavyo viliweza kupata asilimia tano ya kura zote za ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Octoba 28, 2020. Jumla ya vyama...

The Chanzo Black@300x

The Chanzo Initiative exists at the interface between advocacy and journalism. It is founded to uplift the voices of the underreported, vulnerable, and marginalized communities in Tanzania with the goal to make Tanzania the best place to live for everyone regardless of class, creed, sexual orientation and nationality.

Subscribe to Our Newsletter

The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved