
Wananchi Dar Waeleza Sifa za Mwakilishi Wanayemtaka Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Baadhi ya sifa hizo ni pamoja na uwajibikaji, kuwa karibu na wananchi, na kutanguliza maslahi ya wale anaowawakilisha.

Baadhi ya sifa hizo ni pamoja na uwajibikaji, kuwa karibu na wananchi, na kutanguliza maslahi ya wale anaowawakilisha.

Some of these qualities include accountability, being close to the citizens, and prioritising the interests of those they represent.

According to the 2022 Population and Housing Census, Zanzibar has a population of 1,889,773, of which 215,434 about 11.4 percent are people with disabilities. Yet out of the 76 seats in the House of Representatives, only three are currently held by individuals with disabilities.

Monday’s winners, if approved by relevant party organs, will represent CCM —which has held power for over six decades—in the upcoming October 28, 2025 general elections.

The contested Electoral Code of Conduct for the 2025 General Election was signed on April 12, 2025, by the Independent Electoral Commission (INEC), the Government, and 18 political parties. One opposition party, CHADEMA, declined to sign.

Akizungumza leo makao makuu ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam amesema kuwa kwa nafasi ya wabunge wa majimbo 272 ya uchaguzi nchini, watia 3,585 wamechukua upande wa bara na 524 wamechukua upande wa Zanzibar. Kati ya watia nia hao 4,109 walioenda majimboni wanawake ni 263. Uwakilishi Zanzibar waliochukua fomu ni 503.

In my view, our current parliament resembles these French parlements, which served not so much as checks on power but as instruments of royal absolutism.

Zoezi hili la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi linahusu nafasi Ubunge wa Jimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Ubunge wa Viti Maalum, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Viti Maalum, Udiwani wa Kata au Wadi na Udiwani wa Viti Maalum.

The conclusion of 12th Parliament today will mark the beginning of a new phase leading up to the general election for the President of the United Republic, Members of Parliament, and Councilors in mainland Tanzania, scheduled to take place in October 2025.

As much as she may opt to engage in every kind of political delusion, Samia, in great substance, is very much kith and kin to her predecessor.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved