
Defying the Status Quo? Lissu’s Historic Speech and the Struggle for Electoral Justice
Lissu’s speech can be viewed as a political blueprint for CHADEMA’s reforms agenda, setting the stage for a broader national conversation.

Lissu’s speech can be viewed as a political blueprint for CHADEMA’s reforms agenda, setting the stage for a broader national conversation.

Sababu ni ufinyu wa mapendekezo ya wadau yaliyoanishwa kwenye sheria za uchaguzi, CCM yasema mabadiliko hayajafika kikomo.

Kung’ang’ania kauli kwamba CCM Zanzibar ilishika dola kwa mtutu wa bunduki na hivyo haiwezi kuiachia kwa sanduku la kura ni kujiangamiza.

Kati ya kujikanganya katika misimamo na kupoteza baadhi ya wanachama wake shupavu, CHADEMA imechagua la pili kujitanzua na hali iliyotishia kukipasua chama hicho cha upinzani

Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.

Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa ni upigwaji wa Kura ya Mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho.

Bunge la 12 limepewa jina la ‘Bunge la Kijani’ na baadhi ya wachambuzi. Ni bunge ambalo halitakuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani wala Baraza Kivuli la Mawaziri. Tutegemee nini kutoka kwa bunge hili?

Jumapili ya Novemba 8, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitoa taarifa kuwa vyama vyenye sifa ya kupata ubunge wa viti maalumu ni chama

The parties have vowed to lead an “indefinite demonstration” from Monday to pressurise authorities to announce election rerun as NEC dismisses claims of voter fraud

Bolivia imetoa fundisho kwamba sera za kijamaa zinatekelezekaikiwa viongozi watakuwa waadilifu na kipimo ni mafanikio yaliyopatikana kwenye Uchaguzi Mkuu wa Bolivia.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved