Tumefikaje Kwenye Hali ya Sasa ya Kutengeneza Miungu Watu Hapa Tanzania?
Katika miaka ya hivi karibuni, dhana ya kuabudu viongozi kupita kiasi imezidi sana Tanzania, ikichagizwa na mambo kadhaa. Hali hii ina athari nyingi kwa mustakabali wa taifa letu.