
The State of Multiparty Democracy in Tanzania: Is It Working?
Three decades in, systemic imbalances and repressive politics raise urgent questions about Tanzania’s democratic future.

Three decades in, systemic imbalances and repressive politics raise urgent questions about Tanzania’s democratic future.

Kama tumedhamiria kuleta maendeleo kwetu sisi na kwa kizazi kiijacho, hatuna budi kufanya mabadiliko makubwa sana katika Katiba yetu, sheria zetu na taasisi zetu ili ziweze kutuondoa katika hali duni tuliyonayo ukilinganisha na mataifa yaliyoendelea.

Mamlaka ya kifalme ambayo Katiba hiyo inampa Rais ni moja kati ya mengi yanayofanya watu wadai Katiba Mpya.

Lazima tukubali kuwa tumepoteza uaminifu na imani kwa taasisi, Serikali na viongozi wetu. Hali hii ni hatari. Tunatakiwa tuiamini Serikali na viongozi wetu.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved