The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Selemani Rehani

Mabadiliko ni Muhimu Kwa Ustawi wa Jamii na Kupunguza Umaskini

Kama tumedhamiria kuleta maendeleo kwetu sisi na kwa kizazi kiijacho, hatuna budi kufanya mabadiliko makubwa sana katika Katiba yetu, sheria zetu na taasisi zetu ili ziweze kutuondoa katika hali duni tuliyonayo ukilinganisha na mataifa yaliyoendelea.

×