
Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Wahimiza Uwajibikaji Juu ya Mauaji ya Oktoba 29
Baraza hilo limeshauri kuwepo na uchunguzi huru utakaoundwa na timu ya wadau kutoka nje na ndani ya nchi, kuchunguza matukio ya mauaji

Baraza hilo limeshauri kuwepo na uchunguzi huru utakaoundwa na timu ya wadau kutoka nje na ndani ya nchi, kuchunguza matukio ya mauaji

Taarifa hiyo iliyosomwa na Sheikh Issa Othman ambaye ni Mjumbe wa Baraza la Ulamaa imeitaka serikali kuchukua hatua dhidi wa vinara wa matukio yaliyotokea toka Oktoba 29.

The announcement was formally delivered to Parliament by Speaker Mussa Azzan Zungu, who presented the President’s nomination for legislative approval.

We owe it to those who lost their lives to ensure such violence is never repeated.

Zanzibar President and Chairman of the Revolutionary Council, Dr. Hussein Ali Mwinyi has announced a new 20-member Cabinet as he embarks on his second term in office.

My solemn request to President Samia is admission of deaths and honest condolences to the families, justice and accountability and political and security sector reforms.

The 2025 election statistics show this election as one of the elections with the highest voter turnout in the history of Tanzania.

Takwimu za Uchaguzi za mwaka 2025 zinaonesha uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni uchaguzi ambao watu wengi zaidi wamejitokeza kupiga kura, katika historia ya Tanzania.

Zungu, who served as Deputy Speaker in the 12th Parliament, was nominated by his party, Chama Cha Mapinduzi (CCM), and endorsed by its parliamentary caucus. In his acceptance remarks, Zungu emphasized cooperation with the government while upholding fairness and integrity in parliamentary proceedings.

In his address, Dr. Mwinyi emphasized the importance of reconciliation and collaboration among political parties in building a stable and inclusive nation.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved