Ni Wakati Sasa Tuanze Kuwatazama Waokota Taka Rejeshi Kwa Jicho la Tatu 18 February 2025 Serikali ya Tanzania, kwa kushirikiana na wadau wengine, kama vile wa mazingira, inapaswa kuchukua hatua za haraka kutambua mchango wao na kuboresha mazingira ya kazi yao.