
Hoja Siyo Karia Kama Mgombea Bali Kanuni za Uchaguzi Zinazominya Demokrasia
Watu wasizuiwe kwa sheria na kanuni kuingia kwenye uchaguzi, bali mafanikio ya mgombea na mikakati yake ndiyo iamue achaguliwe au aondolewe.

Watu wasizuiwe kwa sheria na kanuni kuingia kwenye uchaguzi, bali mafanikio ya mgombea na mikakati yake ndiyo iamue achaguliwe au aondolewe.

Ni kawaida ya jumuiya, au taasisi yeyote, kuweka kwenye katiba yake vipindi vya uchaguzi kwa ajili ya kupata viongozi, ama walewale waliopo madarakani waendelee, au

Hadi leo si TFF wala Bodi ya Ligi iliyoonyesha kuchukizwa na uamuzi mbovu uliotawala msimu mzima wa 2024/25 na waamuzi wanaongezeka kiburi kwa kuwa wanaona hatua hazichukuliwi.

Kunahitajika mageuzi muhimu ya kuifanya Bodi ya Ligi iwe na muundo wa kisasa na unaoweka uwajibikaji.

TFF ni lazima iheshimu mamlaka za mikoa na kuacha kuingilia shughuli zake kwa kisingizio kwamba ngazi hiyo haijaunda vyombo vyake.

Ratiba isipangwe na kubadilishwabadilishwa kiholela.

Inaonekana tatizo la uahirishaji mechi kiholela kwa maslahi ya watu fulanifulani lishakuwa sugu kama dondandugu, na hivyo linaula mpira wa miguu taratibu.

Kudhani kuwa RS Berkane walishindwa kupata udhindi mpana kwao na hivyo wanaweza kufungika ugenini, ni kujidanganya.

Waingereza wameonyesha njia na sisi hatuna budi kuangalia tunawezaje kuingiza hiyo dhana ya kuwajibika katika kubashiri, hasa wakati huu ambao kampuni za ubashiri zinazidi kumiminika.

Imani kwa mamlaka zinazoongoza na kusimamia mpira inazidi kupungua, hivyo ni muhimu kwa mamlaka kuliona hilo mapema na kujirekebisha.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved