The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Angetile Osiah

TFF Ifanye Uamuzi Mapema Kocha wa Taifa Stars

Haya mambo ya kutaka ushindi kwa nguvu katika kila mechi, yanaweza kutupa picha bandia kuwa tuna timu nzuri, kumbe hatujui hata uzuri wake uko sehemu gani na kushindwa kuuimarisha.

TFF, TPLB Ziamke, Azam Media Siyo Mfadhili

TPLB na TFF zinapaswa kuamka na kuanza kufikiria zinawezaje kuboresha mkataba wa matangazo ya moja kwa moja ili kujiongezea kipato na kupanua wigo wa washirika wake, ambao zamani waliitwa wadhamini.