Kama Ligi za Wilaya na Mkoa Hazisikiki, Kuna Haja ya Kuwa na Chama cha Mpira wa Miguu cha Dar es Salaam?
Viongozi wa DRFA wako wapi? Hivi kazi yao ni kushiriki mkutano mkuu wa TFF au kuhudhuria mechi za Ligi Kuu na za kimataifa na kuchukua mgao wao?