The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Angetile Osiah

Simba Wameonyesha Njia Ujenzi wa Viwanja

Suala la ujenzi wa uwanja limekuwa gumu kwa klabu kongwe za jijini Dar es Salaam baada ya waasisi wake kufanikiwa kujenga ofisi za makao makuu katikati ya jiji lilipokuwa dogo na idadi ndogo ya watu.

×