
TFF Isisubiri CAS, Ianze Kujiwajibisha Sakata la Yanga v Simba
Kama TFF isipowashughulikia wahusika, basi ni dhahiri viongozi wa juu walihusika kwa njia moja au nyingine kufanya uamuzi huo wa hovyo ambao unazidi kukomaa.

Kama TFF isipowashughulikia wahusika, basi ni dhahiri viongozi wa juu walihusika kwa njia moja au nyingine kufanya uamuzi huo wa hovyo ambao unazidi kukomaa.

Suala la ujenzi wa uwanja limekuwa gumu kwa klabu kongwe za jijini Dar es Salaam baada ya waasisi wake kufanikiwa kujenga ofisi za makao makuu katikati ya jiji lilipokuwa dogo na idadi ndogo ya watu.

Viongozi wa DRFA wako wapi? Hivi kazi yao ni kushiriki mkutano mkuu wa TFF au kuhudhuria mechi za Ligi Kuu na za kimataifa na kuchukua mgao wao?

TFF inahitaji kujikita kwenye kuendesha programu za watoto na vijana badala ya kujihusisha na Ligi Kuu ambayo haiishi vitimbi kutoka klabu kongwe za Simba na Yanga.

Ni lazima itafutwe njia ya kudhibiti ufanyaji wa maamuzi yenye athari kwa mashabiki na hilo liwe kisherie ili viongozi wa michezo waache kutumia busara na hekima badala ya sheria na kanuni walizohjiwekea wenyewe.

Wenzetu wanatunga sheria zaidi ili kulinda mashabiki ambao ndio nguzo kubwa ya michezo duniani, lakini huku watu wanatoa taarifa ya kuahirisha mechi kiholela bila ya kuonyesha kujali athari ambazo mashabiki wamezipata

Tulitegemea kiongozi wa juu wa kariba yake, atulie wakati huu mgogoro haujaisha ili juhudi za kuumaliza zifanyike na mambo hayo ya kuahirisha mechi hivyo yafikishwe mwisho.

Nguvu kubwa ya mijadala ingeelekezwa kwenye mamlaka ya TPLB badala ya kanuni ambazo inaonekana zinatengenezwa ili zivunjwe, linapofikia suala la Yanga na Simba.

Kitendo cha kupunguza idadi ya wajumbe wa mkutano mkuu kinaweza kuunufaisha uongozi wa sasa, lakini kinaweza kuwa chanzo cha migogoro mingine mikubwa hapo baadaye.

Ni muhimu kwa mamlaka kuchukua hatua kuanzia hapo kwa Smarti na kwenda hadi matukio mengine mengi yanayolalamikiwa kila wiki tangu msimu huu wa Ligi Kuu uanze.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved