
Ziara ya Siku 15 Mikoa Kadhaa ya Tanzania Imenidhihirishia Ukweli Mmoja Mchungu: CCM Imechoka, Hatuna Budi Kuichoka
Umasikini na ufukara ulioenea nchi nzima, ukipoka wananchi utu na heshima zao, unatwambia kitu kimoja tu: CCM haiwezi kutatua tatizo ililolisababisha.