
Kama Wananchi, Tunafanyaje Kuzisaidia, Kuzifariji Familia Zilizopoteza Wapendwa Wao Matukio ya Oktoba 29?
Kama jamii, hatujaweza kuwasaidia vya kutosha wale walioondokewa kufanya misiba ya wapendwa wao; misiba kwa maana ya taratibu za kidini, taratibu za kimila, na taratibu za kijamii.