
Hadhi ya Ligi Yetu na Mizani ya Uadilifu: Tuendelee au Turekebishe?
Klabu za Ligi Kuu na ligi nyingine nchini zinapaswa kuweka wazi mapato na matumizi yake kama sehemu ya uwajibikaji kwa sheria za nchi na uwazi kwa wanachama wanaochangia fedha zao kupitia ada za uanachama.