Tanzania’s Govt Shutdown the Internet in 2020. Now, We’re Taking It to Court
Tanzania’s 2020 internet shutdown is on record as one of the major incidents leading to a compromised election process.
Tanzania’s 2020 internet shutdown is on record as one of the major incidents leading to a compromised election process.
Tujenge na tuimarisha mifumo ya utoaji haki na ugatuzi wa mamlaka ya nchi kwani usanii unaofanywa kwa jina la kusaidia wanyonge hauna uendelevu.
Matukio yote ya utekaji yatendewe kama dharura, hatua madhubuti zichukuliwe kubaini ukweli na kuwawajibisha wote waliohusika.
Tukiiandikia Sekretarieti kwa uwingi wetu tutawaamsha hata waliolala; Tutapiga kelele na kupata matokeo bila kutumia nguvu au kuumizwa.
Teuzi hizo zinatoa taswira ya ubovu wa mifumo yetu ya kisiasa – na uadilifu kutokea juu kwenda chini.
Mwamko wa kuwashughulikia watumiaji wa mitandao ya kijamii wanaoingia katika mgogoro na Serikali hauamaanishi nia ya kutokomeza uhalifu; ni kwamba ‘wakubwa’ tu hawajafurahia kushikwa sharubu.
Ninashauri Mahakama idhibiti mamlaka ya DPP katika mashauri ya jinai, na ilinde haki za wadaawa pasi na upendeleo.
Kufuta mashitaka na kumkamata mtuhumiwa papo kwa papo, na baadaye kumshitaki upya kwa kosa lilelile, chini ya mamlaka ya kipekee na yasiyohojiwa, kumepelekea kesi za jinai kuchukua muda mrefu zaidi kukamilika.
Watu walioko magerezani ambao haki yao haimaanishi kuachiwa tu, bali kusikilizwa, na kupata matokeo kwa wakati, wapewe kipaumbele. Hakuna lugha nyingine ya kuelezea mfumo wetu wa haki jinai zaidi ya kusema tuko njia panda!
Ni kuhusu vilio vya haki dhidi ya mfumo wa haki jinai nchini.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved