The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Venance Majula

Bajeti Sio Mkoba, Ni Maisha ya Kila Siku

Bajeti ya taifa ni ya kiraia, sio ya wataalamu au Wabunge pekee. Inahusu afya yetu, elimu ya watoto wetu, ajira za vijana wetu, hifadhi ya jamii, na ndoto zetu.

×