The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Zahoro Muhaji

Jamhuri ya Korea: Nchi ya Bahati na Misaada

Jamhuri ya Korea ya Kusini imekua nchi ya kupigiwa mfano wa namna nchi za Afrika zinaweza kujifunza kwao na kuendeleza nchi zao kufuta umasikini na kua tajiri, tena ikizingatiwa kuwa Korea Kusini haina rasilimali nyingi kama nchi za Afrika.