
Tanzania’s Ruling CCM Says Nomination Process of the Presidential Candidate Adhered to Party Constitution and Regulations
Party response comes amid debate spearheaded by party dissenters

Party response comes amid debate spearheaded by party dissenters

Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa Rais Samia, aliyeingia madarakani hapo Machi 19, 2021, kushiriki kwenye kinyang’anyiro cha Urais kama mgombea kwani mara zote alizoshiriki – alifanya hivyo akiwa mgombea mwenza wa hayati Rais Magufuli.

Wataeule hao walitakiwa kuandika rasmi kuonesha nia zao za kuingia kwenye uchaguzi ujao.

The reshuffle comes as several outgoing officials are expected to enter the ruling party’s primaries in hopes of securing nominations for the upcoming general election

CCM inaingia katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 ikiwa na silaha tatu kuu: rekodi ya utekelezaji wa Ilani ya 2020–2025, dira ya maendeleo kupitia Ilani ya 2025–2030, na msingi mpana wa wanachama kote nchini.

The author balances giving enough detail to substantiate his narrative and not too much to bog down the story with technical nitty-gritty in an overly academic way.

In our briefing today: TLS demands respect for lawyers, decries unlawful arrests while performing their duties;
President Samia officially launches electric train and SGR project

Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.

His Excellency, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, affectionately known as Mzee Rukhsa, who had the rare distinction of serving as the third President of Zanzibar from

Jambo linalosikitisha zaidi kwenye makosa ya Kiswahili yanayofanywa na wanahabari ni kwamba makosa hayo hufanywa na vyombo vya habari vya Tanzania, nchi inayojinasibu zaidi na Kiswahili sanifu na fasaha.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved