
‘Askari Wangu Wamefanya Kitu Kibaya Sana’: Ya Nanjing 1937, Tiananmen Square 1989 na Oktoba 29, 2025 Tanzania
Nyerere na CCM waliitaka China kutoa ufafanuzi wa kilichotokea Juni 4, 1989, pale Tiananmen Square. Sijui kama Chama cha Kikomunisti cha China kitataka maelezo kutoka kwa chama-dada CCM juu ya Oktoba 29.








