
Teuzi za Watu Wasio Waadilifu Zinawapa Motisha Viongozi Kutumia Vibaya Ofisi za Umma
Teuzi hizo zinatoa taswira ya ubovu wa mifumo yetu ya kisiasa – na uadilifu kutokea juu kwenda chini.
Teuzi hizo zinatoa taswira ya ubovu wa mifumo yetu ya kisiasa – na uadilifu kutokea juu kwenda chini.
Kama lengo la tuzo hizi ni kukuza uandishi bunifu na usomaji nchini, basi ni muhimu sana kuwa na mpango mkakati usiopishana njia na malengo hayo. Kwa sasa, mpango mkakati umeshindwa kulenga shabaha hiyo.
In our briefing: Kwahani MP, Ahmed Yahya Abdulwakil, dead at 65 ;
Lawmaker accuses govt of depriving people of Ngorongoro of basic social services;
Mortar round kills three Tanzanian soldiers in DR Congo
If we can’t forgive, why should we be forgiven?
In our briefing today:
Zanzibar Police: No law prohibits people from eating during daytime in the month of Ramadan ;
Government to return funds confiscated from the Foreign Exchange Bureaus in 2018 and 2019;
Tanzanian national convicted of money laundering in a US court ;
CCM to decide on new deputy secretary and propaganda chief today;
Infographic: Chinese contractors lead in building Tanzania’s roads
Makame alitoweka Agosti 19, 2020, alipokwenda kwenye mazoezi, kama kawaida yake, akikimbia na kuogelea katika eneo la Mazizini, mjini Unguja. Hakuonekana tena mpaka leo, akiacha familia na marafiki katika simanzi kubwa.
ZBC, ambalo ungedhani lingekuwa na uwezo na utashi wa kuwa na mhariri mahususi wa lugha, haliwezi kutegemewa kufanya makosa ya lugha yatokanayo na uzembe na kukosekana kwa umakini.
In our briefing today: M-mama expands nationwide, linked to emergency health line 115; Nchimbi on Zanzibar GNU debate: ‘CCM cannot abdicate its responsibility’;CCT concerned over the government’s push to register faith-based social services initiatives as NGOs
Katika maisha yangu ya hivi karibuni msukosuko mkubwa nilioupata na familia yangu ikatisika kidogo ilikuwa ni masuala ya uraia na ikanifundisha vitu fulani fulani.
Reforms will involve strengthening institutional capacity, efficiency, transparency, and accountability to improve service delivery for Tanzanian citizens.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved