The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search Results for: Zanzibar – Page 34

The Chanzo Morning Briefing Tanzania News – March 01, 2024

In our briefing today: Ali Hassan Mwinyi, Tanzania president who liberalized the economy, dies at 98 ; Concerns arise for 4 Million NHIF beneficiaries as private health providers begin boycott today; Tanga Police solve an abduction case, it was a drug deal gone wrong; Development From Below? This is the story of a Daladala co-op in Dar es Salaam

Mwili wa Hayati Ali Hassan Mwinyi Kuagwa leo Mchana Uwanja wa Uhuru

Katika taarifa ya Serikali iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa usiku wa kuamkia Machi 1, 2024, amesema mwili wa Hayati Ali Hassan Mwinyi utaagwa leo, Ijumaa katika uwanja wa Uhuru kuanzia saa nane mchana baada ya  swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA ambapo Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakary Zuberi ataongoza dua.

×
×