
The Chanzo Morning Briefing Tanzania News – March 04, 2024
In our briefing today: Media duped by fake news on new EAC currency ; Private hospitals resume NHIF services amidst pricing disputes ; Mzee Rukhsa: Farewell to an African statesman
In our briefing today: Media duped by fake news on new EAC currency ; Private hospitals resume NHIF services amidst pricing disputes ; Mzee Rukhsa: Farewell to an African statesman
Wamiliki wa Hospitali Binafsi Zanzibar (ZAPHOA) wamesema wamefikia uamuzi huo baada ya serikali kuonyesha utayari wa kurudi katika meza ya mazungumzo.
Tunaweza kabisa kumpa maua yake Hayati Ali Hassan Mwinyi kama Baba wa Mageuzi nchini. Hajapewa hii heshima yake vya kutosha.
The best way to honour the Mwinyi’s legacy is to identify the “insects” that came with fresh air and complete his reforms like the Chinese with Tanzanian characteristics.
Manufaa ambayo kikundi hicho kimefanikiwa kuyapata anatoa funzo muhimu kwa wavujajasho wengine, watunga sera, na yeyote yule mwingine anayetamani kuelewa namna watu wa hali ya chini wanavyoweza kutafuta “maisha mazuri.”
Mwinyi anasema kwamba uamuzi huo ulimjengea heshima Serikalini na kwenye jamii pia.
Mwinyi, aliyeaga dunia Februari 29, alikuwa tayari kusalimisha wadhifa wake wa uwaziri kutokana na uzembe wa wengine, na aligoma kugombea urais wa nchi, akiridhika kikamilifu na cheo chake cha urais wa Zanzibar.
His Excellency, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, affectionately known as Mzee Rukhsa, who had the rare distinction of serving as the third President of Zanzibar from
In our briefing today: Ali Hassan Mwinyi, Tanzania president who liberalized the economy, dies at 98 ; Concerns arise for 4 Million NHIF beneficiaries as private health providers begin boycott today; Tanga Police solve an abduction case, it was a drug deal gone wrong; Development From Below? This is the story of a Daladala co-op in Dar es Salaam
Katika taarifa ya Serikali iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa usiku wa kuamkia Machi 1, 2024, amesema mwili wa Hayati Ali Hassan Mwinyi utaagwa leo, Ijumaa katika uwanja wa Uhuru kuanzia saa nane mchana baada ya swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA ambapo Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakary Zuberi ataongoza dua.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved