
Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Wahimiza Uwajibikaji Juu ya Mauaji ya Oktoba 29
Baraza hilo limeshauri kuwepo na uchunguzi huru utakaoundwa na timu ya wadau kutoka nje na ndani ya nchi, kuchunguza matukio ya mauaji

Baraza hilo limeshauri kuwepo na uchunguzi huru utakaoundwa na timu ya wadau kutoka nje na ndani ya nchi, kuchunguza matukio ya mauaji

Katika orodha iliyotolewa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata viti 113 huku Chama cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA) kikipewa viti viwili.

Katika taarifa ya Msigwa ambayo imetoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi na kuchapwa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram amesema uamuzi huo ni kufuatia angalizo la kiusalama lililotolewa na Jeshi la Polisi kwa wakazi wa Dar es Salaam.

TCRA imeeleza maudhui yaliyosababishwa kufungiwa kwa JamiiForums ni ya kupotosha umma, kukashifu na kudhalilisha Serikali na Rais wa Jamhuri ya Muungano

Hayo yamejiri kwenye mazungumzo kati ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Kembo Campbell Mohadi ambaye yupo kwenye ziara ya kizazi nchini Tanzania kwa siku mbili.

ACT Wazalendo accuses INEC of violating democratic principles, constitutional rights, and electoral integrity through arbitrary administrative actions.

Sehemu kubwa ya viongozi hao wa dini walionesha kupendezwa na utendaji wa Rais Samia kama sababu ya kummuunga mkono kuelekea uchaguzi unaokuja.

Zanzibar’s retention of early voting deals a blow to opposition demands for electoral reform.

Kama wanawake, tunahitaji kufikiria na kutafakari upya taasisi ya ndoa, na ikiwezekana kuibadilisha kwa kuongozwa na uzoefu wa mama na bibi zetu.

Polisi wameeleza kuwa tayari wameweka mikakati ya kujiandaa na uchaguzi na kuhakikisha serikali inaingia madarakani bila kikwazo chochote
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved